Peril22
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,422
- 2,313
Habari za muda huu wakuu.
Nimekuwa kwenye mahusiano na binti mmoja mwanafunzi wa chuo kimoja huku mikoani ambaye nimepewa namba na jamaa yangu anayefundisha shule inayomilikiwa na chuo hicho. Baada ya kupewa namba nikamtafuta tukaongea vizuri tu japo akawa anaonekana kutaka sana kukutana ili kufahamiana zaidi.
Kutokana na ubusy niliokuwa nao na mazingira yangu ya kazi hii kidogo ikawa changamoto nikawa namplease awe na subira kidogo. Kweli tarehe 21 Feb nilipata off ya siku saba nikamuita pale hotelini nilipofikia akaja ila akawa anaumwa, nikampeleka hospital akatibiwa lakini akaandikiwa sindano tano ambapo alichomwa sindano mbili muda huo na kuambiwa atakuwa anakuja kuchoma kila siku mojamoja.
Basi nikamrudisha pale hotelini akapata chakula then nikampeleka chuoni kwao. Alivyofika akawa anatuma msg nyingi sasa mimi siwezi kuchart kwa muda mrefu, nipo busy na issue zingine nikamuomba alale apumzike tutaonana kesho muda wa sindano, kesho nikawa tight nikampa mtu usafiri amfuate ampeleke akachome sindano ikawa hivyo muda wa kurudi akapitishwa pale hotelini akanikuta busy sana nikampa kama dk 10 tukaongea kidogo then nikaendelea na issue zangu nikamwambia aagize chakula ale then apelekwe chuoni.
Kesho yake nikasafiri ila nikaacha usafiri kwa ajiri ya kumpeleka hospitali kwa ajili ya hizo sindano zilizobaki. Nilivyorudi nilikuta amemaliza zile sindano na anaendelea vizuri akaomba kuja pale hotelini nikamwambia karibu, akaja tukapiga story kadhaa nikamuuliza una shida gani, akadai hana shida nikajiongeza nikampeleka shop nikamwambia chukua unachotaka(nikawa nampima) akachukua vitu vya kawaida sana mpaka nikaamua kumsaidia kuchukua vitu vya msingi kwa mtoto wa kike nikatoboka kama 438k nikampa zile risiti zote kuanzia hospital, hotelini, na hapo shop(zinazomhusu yeye) then tukarudi hotelini akakaa kama nusu saa nikamwambia yule jamaa ampeleke chuoni.
Mimi muda wa kurudi kazini umefika namwambia kesho naondoka et analalamika mbona hatujaenjoy sijui vitu gani Mara ongeza siku mbili nipone vizuri tupate muda wa kufanya mapenzi, nikamuuliza ina maana kufanya mapenzi ni muhimu kuliko kazi!? Hilo swali likawa mwiba binti akawaka akaongea mambo mengi sana mimi kidogo siwezi majibizano so nikawa sijibu msg zake.
Mwisho akasema hizo hela zinakupa kiburi, endelea nazo mimi sikuhitaji tena. Kiukweli nilicheka na kuona huruma sana aina ya binadamu tunaoishi nao.
Nimekuwa kwenye mahusiano na binti mmoja mwanafunzi wa chuo kimoja huku mikoani ambaye nimepewa namba na jamaa yangu anayefundisha shule inayomilikiwa na chuo hicho. Baada ya kupewa namba nikamtafuta tukaongea vizuri tu japo akawa anaonekana kutaka sana kukutana ili kufahamiana zaidi.
Kutokana na ubusy niliokuwa nao na mazingira yangu ya kazi hii kidogo ikawa changamoto nikawa namplease awe na subira kidogo. Kweli tarehe 21 Feb nilipata off ya siku saba nikamuita pale hotelini nilipofikia akaja ila akawa anaumwa, nikampeleka hospital akatibiwa lakini akaandikiwa sindano tano ambapo alichomwa sindano mbili muda huo na kuambiwa atakuwa anakuja kuchoma kila siku mojamoja.
Basi nikamrudisha pale hotelini akapata chakula then nikampeleka chuoni kwao. Alivyofika akawa anatuma msg nyingi sasa mimi siwezi kuchart kwa muda mrefu, nipo busy na issue zingine nikamuomba alale apumzike tutaonana kesho muda wa sindano, kesho nikawa tight nikampa mtu usafiri amfuate ampeleke akachome sindano ikawa hivyo muda wa kurudi akapitishwa pale hotelini akanikuta busy sana nikampa kama dk 10 tukaongea kidogo then nikaendelea na issue zangu nikamwambia aagize chakula ale then apelekwe chuoni.
Kesho yake nikasafiri ila nikaacha usafiri kwa ajiri ya kumpeleka hospitali kwa ajili ya hizo sindano zilizobaki. Nilivyorudi nilikuta amemaliza zile sindano na anaendelea vizuri akaomba kuja pale hotelini nikamwambia karibu, akaja tukapiga story kadhaa nikamuuliza una shida gani, akadai hana shida nikajiongeza nikampeleka shop nikamwambia chukua unachotaka(nikawa nampima) akachukua vitu vya kawaida sana mpaka nikaamua kumsaidia kuchukua vitu vya msingi kwa mtoto wa kike nikatoboka kama 438k nikampa zile risiti zote kuanzia hospital, hotelini, na hapo shop(zinazomhusu yeye) then tukarudi hotelini akakaa kama nusu saa nikamwambia yule jamaa ampeleke chuoni.
Mimi muda wa kurudi kazini umefika namwambia kesho naondoka et analalamika mbona hatujaenjoy sijui vitu gani Mara ongeza siku mbili nipone vizuri tupate muda wa kufanya mapenzi, nikamuuliza ina maana kufanya mapenzi ni muhimu kuliko kazi!? Hilo swali likawa mwiba binti akawaka akaongea mambo mengi sana mimi kidogo siwezi majibizano so nikawa sijibu msg zake.
Mwisho akasema hizo hela zinakupa kiburi, endelea nazo mimi sikuhitaji tena. Kiukweli nilicheka na kuona huruma sana aina ya binadamu tunaoishi nao.