Nimesambaza sana CV lakini sijawahai kuitwa kwenye usahili

Manyugwi

New Member
Aug 19, 2020
2
1
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 ni muhitimu wa stashahada ya LABOUR RELATION AND PUBLIC MANAGEMENT naomba kujua vitu gani vya kuzingatia ambavyo vitanisaidia kuitwa kwenye interview.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 ni muhitimu wa stashahada ya LABOUR RELATION AND PUBLIC MANAGEMENT naomba kujua vitu gani vya kuzingatia ambavyo vitanisaidia kuitwa kwenye interview.
Mbona kuna mdau anatafuta mtu mwenye sifa kama zako hebu pitia vizuri kwenye jukwaa la ajira niliona hyo thread
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom