Nimesahau kama nimeoa!!!!!!

Kifulambute

JF-Expert Member
May 8, 2011
2,539
755
Habari ya mida wana jamvi,...... Kweli kila kitu usipofanya kwa kiasi huwa karahaaaa!!!
kuna jamaa yamemtokea puani majuazi ambapo jamaa alikuwa na tabia ya kunywa kupita kiasi na kujibebea vijimwana huku akijua kuwa My wife wake yuko home. Siku ya siku baba yule mlevi kaenda Bar kanywa hadi mida ya saa saba usiku na kama kawaida yake akatafuta Mrembo pale maeneo ya Shivaz akamwambia kuwa yeye hajaoa, akamweka kwenye gari na kuondoka nae kwenda home. alipofika home akagonga mlango na kufunguliwa na mkewake kama kawaida ya siku zote......jamaa akaingia ndani na yule demu wake, kufika ndani jamaa akaanza kusema.... Samahani mama watoto nilisahau kama nimeoa nisamehe jamani....my wife wake nae kweli akamwelewa akamchukua mume wake akampeleka chumbani na akamwandalia yule mke mwenza pa kulala..

Je wewe mwanajamvi ungefanyaje?
 
Habari ya mida wana jamvi,...... Kweli kila kitu usipofanya kwa kiasi huwa karahaaaa!!!
kuna jamaa yamemtokea puani majuazi ambapo jamaa alikuwa na tabia ya kunywa kupita kiasi na kujibebea vijimwana huku akijua kuwa My wife wake yuko home. Siku ya siku baba yule mlevi kaenda Bar kanywa hadi mida ya saa saba usiku na kama kawaida yake akatafuta Mrembo pale maeneo ya Shivaz akamwambia kuwa yeye hajaoa, akamweka kwenye gari na kuondoka nae kwenda home. alipofika home akagonga mlango na kufunguliwa na mkewake kama kawaida ya siku zote......jamaa akaingia ndani na yule demu wake, kufika ndani jamaa akaanza kusema.... Samahani mama watoto nilisahau kama nimeoa nisamehe jamani....my wife wake nae kweli akamwelewa akamchukua mume wake akampeleka chumbani na akamwandalia yule mke mwenza pa kulala..

Je wewe mwanajamvi ungefanyaje?


Good joke bro!
 
Jamani hii siyo jokes.... It's true story na jamaa sasa hivi amemwomba msamaha wife wake na ameamua kuacha pombe kabisa na kuokoka
 
Habari ya mida wana jamvi,...... Kweli kila kitu usipofanya kwa kiasi huwa karahaaaa!!!
kuna jamaa yamemtokea puani majuazi ambapo jamaa alikuwa na tabia ya kunywa kupita kiasi na kujibebea vijimwana huku akijua kuwa My wife wake yuko home. Siku ya siku baba yule mlevi kaenda Bar kanywa hadi mida ya saa saba usiku na kama kawaida yake akatafuta Mrembo pale maeneo ya Shivaz akamwambia kuwa yeye hajaoa, akamweka kwenye gari na kuondoka nae kwenda home. alipofika home akagonga mlango na kufunguliwa na mkewake kama kawaida ya siku zote......jamaa akaingia ndani na yule demu wake, kufika ndani jamaa akaanza kusema.... Samahani mama watoto nilisahau kama nimeoa nisamehe jamani....my wife wake nae kweli akamwelewa akamchukua mume wake akampeleka chumbani na akamwandalia yule mke mwenza pa kulala..

Je wewe mwanajamvi ungefanyaje?
hadithi, hadithi
 
Mer.. kama ni wewe ingekuwaje? maana inaonekana msamaha kwako ni balaa kutoa
 
Habari ya mida wana jamvi,...... Kweli kila kitu usipofanya kwa kiasi huwa karahaaaa!!!
kuna jamaa yamemtokea puani majuazi ambapo jamaa alikuwa na tabia ya kunywa kupita kiasi na kujibebea vijimwana huku akijua kuwa My wife wake yuko home. Siku ya siku baba yule mlevi kaenda Bar kanywa hadi mida ya saa saba usiku na kama kawaida yake akatafuta Mrembo pale maeneo ya Shivaz akamwambia kuwa yeye hajaoa, akamweka kwenye gari na kuondoka nae kwenda home. alipofika home akagonga mlango na kufunguliwa na mkewake kama kawaida ya siku zote......jamaa akaingia ndani na yule demu wake, kufika ndani jamaa akaanza kusema.... Samahani mama watoto nilisahau kama nimeoa nisamehe jamani....my wife wake nae kweli akamwelewa akamchukua mume wake akampeleka chumbani na akamwandalia yule mke mwenza pa kulala..

Je wewe mwanajamvi ungefanyaje?



Subiri hapo hapo....
 
Kama hadithi vile.Mnywaji yoyote na aliyeoa hawezi kufanya kitu ya aina hii mkuu,vinginevyo halmashauri yake kichwani ni questionable.
 
Habari ya mida wana jamvi,...... Kweli kila kitu usipofanya kwa kiasi huwa karahaaaa!!!
kuna jamaa yamemtokea puani majuazi ambapo jamaa alikuwa na tabia ya kunywa kupita kiasi na kujibebea vijimwana huku akijua kuwa My wife wake yuko home. Siku ya siku baba yule mlevi kaenda Bar kanywa hadi mida ya saa saba usiku na kama kawaida yake akatafuta Mrembo pale maeneo ya Shivaz akamwambia kuwa yeye hajaoa, akamweka kwenye gari na kuondoka nae kwenda home. alipofika home akagonga mlango na kufunguliwa na mkewake kama kawaida ya siku zote......jamaa akaingia ndani na yule demu wake, kufika ndani jamaa akaanza kusema.... Samahani mama watoto nilisahau kama nimeoa nisamehe jamani....my wife wake nae kweli akamwelewa akamchukua mume wake akampeleka chumbani na akamwandalia yule mke mwenza pa kulala..

Je wewe mwanajamvi ungefanyaje?

Hizi ni hadithi za kuongeza urefu wa maisha haya tulimo. Kwa maisha ya kawaida haiwezi kuwa rahisi kihivyo.
 
Mi pia ningemwandalia huyo mwanamke. Ningemchemshia maji ya kuoga. Tena ningewapisha chumba.
 
Habari ya mida wana jamvi,...... Kweli kila kitu usipofanya kwa kiasi huwa karahaaaa!!!
kuna jamaa yamemtokea puani majuazi ambapo jamaa alikuwa na tabia ya kunywa kupita kiasi na kujibebea vijimwana huku akijua kuwa My wife wake yuko home. Siku ya siku baba yule mlevi kaenda Bar kanywa hadi mida ya saa saba usiku na kama kawaida yake akatafuta Mrembo pale maeneo ya Shivaz akamwambia kuwa yeye hajaoa, akamweka kwenye gari na kuondoka nae kwenda home. alipofika home akagonga mlango na kufunguliwa na mkewake kama kawaida ya siku zote......jamaa akaingia ndani na yule demu wake, kufika ndani jamaa akaanza kusema.... Samahani mama watoto nilisahau kama nimeoa nisamehe jamani....my wife wake nae kweli akamwelewa akamchukua mume wake akampeleka chumbani na akamwandalia yule mke mwenza pa kulala..

Je wewe mwanajamvi ungefanyaje?


kama stori za Abunuasi!!!!!!!!
 
Acha utani bana. Hata ka vipi huwezi fanya hii kitu! Kama kweli kuna tatizo labda huyo mke alileteawa toka kanyigo kwaoooooooooo! Hamtaki anashindwa tu kumwambia mama nenda kwenuuuuuu! Lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom