Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
Habari ya mida wana jamvi,...... Kweli kila kitu usipofanya kwa kiasi huwa karahaaaa!!!
kuna jamaa yamemtokea puani majuazi ambapo jamaa alikuwa na tabia ya kunywa kupita kiasi na kujibebea vijimwana huku akijua kuwa My wife wake yuko home. Siku ya siku baba yule mlevi kaenda Bar kanywa hadi mida ya saa saba usiku na kama kawaida yake akatafuta Mrembo pale maeneo ya Shivaz akamwambia kuwa yeye hajaoa, akamweka kwenye gari na kuondoka nae kwenda home. alipofika home akagonga mlango na kufunguliwa na mkewake kama kawaida ya siku zote......jamaa akaingia ndani na yule demu wake, kufika ndani jamaa akaanza kusema.... Samahani mama watoto nilisahau kama nimeoa nisamehe jamani....my wife wake nae kweli akamwelewa akamchukua mume wake akampeleka chumbani na akamwandalia yule mke mwenza pa kulala..
Je wewe mwanajamvi ungefanyaje?
kuna jamaa yamemtokea puani majuazi ambapo jamaa alikuwa na tabia ya kunywa kupita kiasi na kujibebea vijimwana huku akijua kuwa My wife wake yuko home. Siku ya siku baba yule mlevi kaenda Bar kanywa hadi mida ya saa saba usiku na kama kawaida yake akatafuta Mrembo pale maeneo ya Shivaz akamwambia kuwa yeye hajaoa, akamweka kwenye gari na kuondoka nae kwenda home. alipofika home akagonga mlango na kufunguliwa na mkewake kama kawaida ya siku zote......jamaa akaingia ndani na yule demu wake, kufika ndani jamaa akaanza kusema.... Samahani mama watoto nilisahau kama nimeoa nisamehe jamani....my wife wake nae kweli akamwelewa akamchukua mume wake akampeleka chumbani na akamwandalia yule mke mwenza pa kulala..
Je wewe mwanajamvi ungefanyaje?