6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,508
- 2,876
Kwenye Huo uzi hakusema kuw hakuna Ukimwi, bali hakuna HIV anayesababisha Ukimwi ( upungufu wa kinga mwilini).. akaendelea kuandika ukimwi unasabbishwa na mambo mbali mbali kama matumizi ya antibiotics kwa muda mrefu, ukoesfu wa antioxidant, malnutrition na nk. Na kuwa upungugu wa kinga mwilini hauwezi kumuambukiza mtu mwingine upungufu wako.....
Na kuwa matumizi ya ARV yana madhara?
Na kuwa matumizi ya ARV yana madhara?
Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?
Ukiwa na uume mdogo ambao hausababishi michubuko halafu ukawahi kuuosha baada ya kugegedua, unaweza ukasalimika. Style hiyo aliitumia Zuma, Rais wa Afrika ya kusini.
www.jamiiforums.com