SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,928
- 2,006
Nimeamua kuja hapa mnazi mmoja hospital inayosifiwa na wakazi wengi wa dar kutokana na huduma zao kuwa bora kuliko hospital nyengine mwananyamala,temeke,na amana.
Kama utaratibu ulivyo inakubidi kununua kadi ya kwenda nayo kwa mganga na bei yake ni shilingi 2000 taslimu za kibongo.Nimelipa na nikapewa kadi ya njano ILIYOBANWA NA RISITI MBILI NYUMA ILIYOANDIKWA MALIPO YA KUCHANGIA HUDUMA YA AFYA.
Tatizo sio elfu mbili niloitoa,tatizo langu nikiwa kama great thinker nahitaji MAELEZO kwanini sikupewa risiti moja ya elfu mbili nikapewa risiti ya aina moja yani za elfu moja moja tena zilizo sawa hapa ndipo napohitaji ufafanuzi wakuu toka kwenu,kama jambo hili ni sawa.
Najiuliza kama hizi risiti ni za mifuko miwili tofauti kwanini nipewe risiti hizi za aina moja.Wakuu nawatakia jumamosi njema,na mnapomuombea rais wetu afya yake itengamae msinisahau na mimi pia.
Kama utaratibu ulivyo inakubidi kununua kadi ya kwenda nayo kwa mganga na bei yake ni shilingi 2000 taslimu za kibongo.Nimelipa na nikapewa kadi ya njano ILIYOBANWA NA RISITI MBILI NYUMA ILIYOANDIKWA MALIPO YA KUCHANGIA HUDUMA YA AFYA.
Tatizo sio elfu mbili niloitoa,tatizo langu nikiwa kama great thinker nahitaji MAELEZO kwanini sikupewa risiti moja ya elfu mbili nikapewa risiti ya aina moja yani za elfu moja moja tena zilizo sawa hapa ndipo napohitaji ufafanuzi wakuu toka kwenu,kama jambo hili ni sawa.
Najiuliza kama hizi risiti ni za mifuko miwili tofauti kwanini nipewe risiti hizi za aina moja.Wakuu nawatakia jumamosi njema,na mnapomuombea rais wetu afya yake itengamae msinisahau na mimi pia.