Nimependa picha hii je wewe?

Nasikitika sana kwa umbumbumbu wako kuwaita watu makini kama Kanali Muamar Ghadafi (Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi-Amen)
Eti Dictator kasome tena definition ya dictatorship unatia huruma saaana maskini,
Gadafi dikteta!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!????????????????????????????????????????????????????
Pole sana vipimo vinaonyesha ni kweli umethirika kwa kufuata uwongo wa Marekani.
 
gadafi alikua na nafasi ya kuwaachia na walibya wenzake kuongoza nchi yao, failier to do that ameifelisha nchi yake na watu wake pia. Kiongozi mwenye mafanikio huanza na kumaliza vema utawala wake. Gadafi is a failier ruller.

Umesema vizuri lakini nimekasirishwa na Ki-cambridge chako! Failier, ruller na kufelisha. Hivi huwezi tu kuandika Kiswahili? Lakini ulimaanisha vizuri!
 
Mkuu Tofauti kubwa ni kwamba udikteta wa Bush ulikuwa ni wa muda wenye kikomo . Hakuwa na ruhusa ya kuendesha udikteta wake maisha yake yote na pia kumrithisha mwanaye.

Mwenyewe alirithi, au umesahau?
 
gadafi alikua na nafasi ya kuwaachia na walibya wenzake kuongoza nchi yao, failier to do that ameifelisha nchi yake na watu wake pia. Kiongozi mwenye mafanikio huanza na kumaliza vema utawala wake. Gadafi is a failier ruller.


I CONCUR...alianza shida pale aliponogewa na kubinafsisha state!!
 
nimedharau sana uelewa wako juu ya hao uliowaita madikteta. Ni bora nchi iongozwe kidikteta na mambo yaende kuliko nchi iongozwe kudemokrasia na mambo yake yawe kama bongo. Leo hii ealibya wanajutia maamuzi yao. Hawatopata tena fursa ile waliyoipata kwa gadafi.

Aliyekwambia bongo inaendeshwa kidemokrasia nani wakati mkweree alichakachua kura za Urais; angekuwa anapendwa angepopolewa na mawe? Chama cha ccm tu kinaendeshwa kidikteta; analotaka mkweree ndilo hilo hakuna mtu wa kumbishia mwenyekiti hata kama jambo lenyewe ni la kijinga!!!! Demokrasia ni pamoja na kuwa na haki sawa kwa wote , lakini bongo sio hivyo wezi wa mabilioni hawakamatwi wanaambiwa warudishe walizoiba na wengine kuachiwa wazile wakati wezi wa ndizi ndio wanaofungwa; je hiyo ndiyo demokrasia?
 
mkuu unamanisha bush mkubwa au mdogo?mkubwa alimrithisha bush mdogo,yani mwanae
Labda kama sielewi maana ya kurithisha, ila nijuavyo mimi ni kwamba Bush wote wawili waliingia madarakani kwa kuchaguliwa, tena hawakufuatana katika kushika urais (in between there was Bill Clinton). Kurithishana ni kama vile akina Castro wa Cuba, akina Kabila wa DRC, akina Bongo wa Gabon etc.
 
Kumwita gadafi dikteta ni upungufu wa kutojua nini unachosema, usifuate mkumbo wa wajinga wa magharibi ndugu yangu, mm nilisoma libya na nilitamani sana alau mwaka mmoja tumchukue gadafi aje kuiongoza tz, yaani jamaa wana maisha mazuri na wanaishi kwa raha sana, mambo ya maendeleo waliyoyapata walibya kwa kupitia huyo unaemwita dikteta hakuna kiongozi yyte wa afrika na dunia nzima anaeweza kuwafanyia maendeleo wananchi wake alivyowafanyia gadafi wananchi wa libya, hamjui tu mataifa ya magharibi walitaka nini kwa walibya, ndugu yangu nenda kaone mwenyewe uhalisia wa maisha ya walibya, na wacha kufuata mkumbo kwa jambo usilolijua ndugu yangu, mambo waliyofanyiwa walibya hakuna kiongozi yyt anaeweza kuwafanyia wananchi wake ktk nchi yyt duniani, sitaki tu kukutajia nini kawafanyia gadafi walibya lkn soma alama za nyakati ndugu yangu
 
Jamani tutafakari namna ya kukabiliana na majanga ya kitaifa si kujadili mambo ya wa-Libya. Majanga ya kitaifa kwa wakati huu ni EL, RA, AC, CCM na JK
 
jamani tunakwenda wapi?sio madikteta,huyu gadafi utafanya makosa makubwa sana kumuita dikteta,maana ameleta maendeleo makubwa sana nchini kwake,hakuna afrika na ulaya yake kiongozi mwenye maendeleo km gadafi,kukaa ktk madaraka kwa muda mrefu sio udikteta,tuwacheni kasumba za magharibi,waliomwita hvyo walikuwa na lao tu,
 
Back
Top Bottom