daughter
JF-Expert Member
- Jun 22, 2009
- 1,275
- 746
Kheri wenye mioyo ua uchoyo wa kununulia wenzao bia,
Maana watatengewa na ufalme wa Mungu.
hiyo ni Mathayo 5: ... mstari wa ngapi vile?
Kheri wenye mioyo ua uchoyo wa kununulia wenzao bia,
Maana watatengewa na ufalme wa Mungu.
hiyo ni Mathayo 5: ... mstari wa ngapi vile?
ningeshangaa sana kama usinge comment chochote kwenye hii useful thread
Wahusika wa mivinyo mbona twajuana.
Kama waarabu wa Pemba vile...
Mi huwa naacha kunywa ili kazini wasini-mind....kuna utaalam wa Masa wa kuweka kwenye chupa ya chai, wacha nijaribu jumatatu.
Hakikisha boss wako hajui unaweza poteza ajira!
TUMSHUKURU MUNGU
na yule aliyegundua pombe
thats why my English grammar will never improve.... dammitAlso by drinking beer you'll b good in english grammar!!
Hahahaha! nimeona na hii:
Beer helps u get un-sober!