Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Pombe sio HARAMU BALI WATUMIAJI/WATU NDIO HARAMU. Jesus was not stupid to make his first and sound miracle through Alcohol
Changanua muungwana sisi wengine ni slow learners!
Pombe sio HARAMU BALI WATUMIAJI/WATU NDIO HARAMU. Jesus was not stupid to make his first and sound miracle through Alcohol
Nakaa pembeni kwanza nione Vipofu wanavyoongozana....
Uko bar nini kiongozi huoni key words no key board I mean.
Changanua muungwana sisi wengine ni slow learners!
Hapa ndani mbona kuna baadhi ya watu akili zao zinafanana
akitype - Asprin unaweza kudhani ni Teamo ,RR,Masanilo,kimey ,fixed Point au bigirita
Hawa modereta sijui wameenda wapi....hadi nafananishwa na Masa....???Name calling MOD mtendee haki huyu! FL
Hawa modereta sijui wameenda wapi....hadi nafananishwa na Masa....???
Name calling MOD mtendee haki huyu! FL
Hawa modereta sijui wameenda wapi....hadi nafananishwa na Masa....???
hilo ndilo neno la mungu!
[/font][/color][/font][/color]
The choice is yours!and yours only! Kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe mbele za haki siku hiyo inakuja!!!
Charity maneno yako na ufahamu wako ndio vitaokoa kizazi hiki...paza sauti sasa
FL1 kwan kizazi hiki kimepotea???
Kinaelekea kupotea ..,,,,,
Nipo kwenye winter huku wenzangu wote wanalala na wanawake kwa sababu ya baridi
Lakini mm nalala na chupa za bia mwanzo mwisho mpaka kuna kucha sihitaji mwanamke.