RealMan
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,367
- 1,388
Msifadhaike mioyoni mwenu, mwaminini Mungu maana yeye ni Mungu wa faraja.
Kwa kuwa imeandikwa mwanadamu kufa, hivyo hufa mara moja na baada ya kifo hukumu.
Tutende yaliyo mema maadam tungali hai maana hakuna ajuaye siku wala saa.
Mungu na awape kustahmili kipindi hiki kigumu.
Kwa kuwa imeandikwa mwanadamu kufa, hivyo hufa mara moja na baada ya kifo hukumu.
Tutende yaliyo mema maadam tungali hai maana hakuna ajuaye siku wala saa.
Mungu na awape kustahmili kipindi hiki kigumu.