Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,362
- 5,884
Acha kuishi kwa assumptions. Chukua kilichopo kwanza.
kuna bint kakakataa kaz mshahara lak 680 nje ya nchi huku anapewa kila kitu na mshahara haukatwi kodi na kazi masaa 8 kwa kusubiria kazi asiyoijua ni lini ya uweitres..ss ukiangalia muonekano wa huo uweitres hana na wala hana uhakika na hiyo kazi. Basi namuangalia najionea kilaza kimoja.unaacha hizo halafu unakosa na hizo unazozingoja😂, kazi zilivo za shida ivi wenzio tunatafuta hata za kufanya kwa mwezi mmoja hatuzioni😅 Shauri yako
Nakazia na sumari inchi semaniniAchana na hiyo halaf endelea kukaa mtaani kusubiri ya kudumu.!!!.
Vijana siku hizi sijui mnafikiriaje!! Unakosa jibu kabisa ukitafakari.
Iache mkuu. Haitakusaidia.
sijazidisha kitu ni kweli kabisaHapa umezidisha chumvi
Nenda kapige kazi mikataba ijayo itakufuata tu, kwanza CV yako itakuwa imeshiba.Habari wana jf.
Mimi ni kijana niliyekuwa nahangaika kutafuta ajira serikalini kwa muda mrefu kidogo.
Juzi ijumaa Tamisemi wametoa majina ya ajira ila kwa muundo wa mkataba na jina langu likiwemo.
Ila imeniletea ukakasi hii hali naombeni ushauri wenu wakuu.
Ajira wanasema ni ya mkataba wa miaka miwili na utapata shtahiki zote za mtumishi wa umma na majina yametolewa na Tamisemi wenyewe.
Mimi nataka niipotezee maana kuna kibali cha ajira mama samia alishakitoa mwaka jana Nadhani mwaka huu wanatangaza watumishi elfu 23.
Hofu yangu
Kama nikienda kuripoti nadhani sitapata tena ajira za tamisemi zinazotoka mwezi ujao maana Database yao itaonesha nimepata kazi.
View attachment 2886023
Mkataba mnaombaje mbona hawaja tangaza?Afya MD
Unapokuwa mdogo na huna majukumu. Unaona bado una muda mrefuuu wa kufanya yote unayotaka kutimiza, ila ubaya ni katika same space, ukifanya makosa kama anayotaka kufanya kijana, miaka itaenda na hujui imeendaje. Worse enough unajikuta huna lolote na kinachobakia ni kuanza kujutia nafasi ulizopotezaAchana na hiyo halaf endelea kukaa mtaani kusubiri ya kudumu.!!!.
Vijana siku hizi sijui mnafikiriaje!! Unakosa jibu kabisa ukitafakari.
Iache mkuu. Haitakusaidia.
Achana na hiyo halaf endelea kukaa mtaani kusubiri ya kudumu.!!!.
Vijana siku hizi sijui mnafikiriaje!! Unakosa jibu kabisa ukitafakari.
Iache mkuu. Haitakusaidia.
Pia mashirika ya kiserikali mengi huwa hayasitishi mkataba kirahisi zaidi ya kuiongeza miaka na miaka.Walio kwenye mkataba hupewa kipaumbele kwenye ajira za kudumu pale zinapopatikana. Hujapoteza kitu na wala usiwaze sana.
Una uhakika gani zitatangazwa muda huo?Shida Ajira za kudumu zinatangazwa mwezi ujao.
We nenda kuna uwezekano ukapewa mkataba wa kudumu hukohuko kila kitu kinawezekana Unasubiri zitangazwe serikali ikiahirisha utafanyaje. Hakuna kazi ya kudumu hapa duniani afya yako ndiyo itakufanya udumu kazini, je ukiajiriwa kazi ya kudumu halafu ukapata ulemavu wa macho unadhani mwajiri ataendelea na wewe lazima upigwe chini.Shida Ajira za kudumu zinatangazwa mwezi ujao.
Habari wana jf.
Mimi ni kijana niliyekuwa nahangaika kutafuta ajira serikalini kwa muda mrefu kidogo.
Juzi ijumaa Tamisemi wametoa majina ya ajira ila kwa muundo wa mkataba na jina langu likiwemo.
Ila imeniletea ukakasi hii hali naombeni ushauri wenu wakuu.
Ajira wanasema ni ya mkataba wa miaka miwili na utapata shtahiki zote za mtumishi wa umma na majina yametolewa na Tamisemi wenyewe.
Mimi nataka niipotezee maana kuna kibali cha ajira mama samia alishakitoa mwaka jana Nadhani mwaka huu wanatangaza watumishi elfu 23.
Hofu yangu
Kama nikienda kuripoti nadhani sitapata tena ajira za tamisemi zinazotoka mwezi ujao maana Database yao itaonesha nimepata kazi.
View attachment 2886023
Wanafikiria Kwa kutummia makalioAchana na hiyo halaf endelea kukaa mtaani kusubiri ya kudumu.!!!.
Vijana siku hizi sijui mnafikiriaje!! Unakosa jibu kabisa ukitafakari.
Iache mkuu. Haitakusaidia.