kijanamakini
Senior Member
- Nov 2, 2010
- 116
- 14
Think like a Man of ACTION and act like a Man of THOUGHT
nimeipenda hii~~~!!!!
Think like a Man of ACTION and act like a Man of THOUGHT
Jina lenyewe "Chamajani"Si masihara bali ni ukweli mtupu, nimeoteshwa kutoa tiba ya kuramba kijiko kimoja tu cha mti unaoitwa mgaagaa kwa ajili ya kutibu matatizo yote yanayohusiana na mapenzi yakiwa pamoja na:- kupata ujasiri wa kutongoza, kwenda round nyingi, kuchelewesha round, kuleta hamu ya tendo la nanihino, mvuto, kupata mchumba, kupata mume/mke, kuachwa kwa wanaotaka, kumpa mpenzio limbwata, kuondoa limbwata-yaani kila kitu;( kijiko kimoja nimeambiwa nitoze gharama ya sh. 999 kwa watanzania na sh. 9999 kwa wasio watanzania) lakini huenda bei ikapanda kutegemea na mahitaji. Just ni-PM
sIO MaHALI PAKE HAPA,ILI NI JAMVI LA MMU.utani na uDAKU NI JUkwaa jingne.Si masihara bali ni ukweli mtupu, nimeoteshwa kutoa tiba ya kuramba kijiko kimoja tu cha mti unaoitwa mgaagaa kwa ajili ya kutibu matatizo yote yanayohusiana na mapenzi yakiwa pamoja na:- kupata ujasiri wa kutongoza, kwenda round nyingi, kuchelewesha round, kuleta hamu ya tendo la nanihino, mvuto, kupata mchumba, kupata mume/mke, kuachwa kwa wanaotaka, kumpa mpenzio limbwata, kuondoa limbwata-yaani kila kitu;( kijiko kimoja nimeambiwa nitoze gharama ya sh. 999 kwa watanzania na sh. 9999 kwa wasio watanzania) lakini huenda bei ikapanda kutegemea na mahitaji. Just ni-PM
Why jamani unaambiwa hivo ulimkosea nini?Sina ugomvi na mtu humu JF na wala si entertain ugomvi I will leave it to her..............
Why jamani unaambiwa hivo ulimkosea nini?
Si masihara bali ni ukweli mtupu, nimeoteshwa kutoa tiba ya kuramba kijiko kimoja tu cha mti unaoitwa mgaagaa kwa ajili ya kutibu matatizo yote yanayohusiana na mapenzi yakiwa pamoja na:- kupata ujasiri wa kutongoza, kwenda round nyingi, kuchelewesha round, kuleta hamu ya tendo la nanihino, mvuto, kupata mchumba, kupata mume/mke, kuachwa kwa wanaotaka, kumpa mpenzio limbwata, kuondoa limbwata-yaani kila kitu;( kijiko kimoja nimeambiwa nitoze gharama ya sh. 999 kwa watanzania na sh. 9999 kwa wasio watanzania) lakini huenda bei ikapanda kutegemea na mahitaji. Just ni-PM
Why jamani unaambiwa hivo ulimkosea nini?