Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
JANA MNYIKA ALIKUWA KWENYE KAMPENI ZAKE PALE SHULE YA MSINGI JESHINI-MABIBO,(CUF WAO WALIFANYIA MKUTANO LUANGA-KWA BIT' KAENGA) BAADA YA ULE MKUTANO NILIONANA NAE NA NIKAMUULIZA WANA MPANGO GANI KUHUSU UKANDA WA KUSINI NA NI LINI WATAENDA HUKO.....AKANIJIBU WATAKUWA MTWARA NA LINDI TAREHE 26 NA 27. SO STAY TUNED,WAKAZI WA MTWARA KUWENI NA SUBRA, MPAMBANAJI ANAKUJA!!:nono: