Wafuasi wa Mange hamkai mbali.MANGE KIMAMBI PIA ALITOA MAONO YA NGUVU KABISA NA YENYE UHALISIA WA KIKI ... YAMETIMIA LEO...
Umeisoma hiyo post vizuri ni ya mwaka 2016 mkuuUnaona baada ya tukio, keshaachiwa mda
Unaona baada ya tukio, keshaachiwa mda
Bila shaka utb joshua unakuhusuUmeisoma hiyo post vizuri ni ya mwaka 2016 mkuu
Nilikuwa nakukumbusha tu mkuu ila sio mimi niliyepost hii thread.Bila shaka utb joshua unakuhusu
Okay! Mwaka huu hauishi atapatikana mwanaume wa kujitoa muhanga kukuoa!Nitabirie basi na mie
Maelezo hayo aliyatoa 9 November 2016, angalia vizuri.Unaona baada ya tukio, keshaachiwa mda
Hatimae maono yako yametimia. hongera sana kwa kuwa na imani kwani hatimae milima imetembea na vipofu wameona..Leo wakati nipo sehemu tulivu sana yakanijia maono na kumuona babu Seya na mwanawe wanaachiwa huru mwaka huu na kufanyiwa sherehe moja ya nguvu na wanamuziki wote wa muziki wa dansi na bongo fleva hapa nchini. Kama maono haya yatakuwa ya kweli basi nahisi itakuwa ni siku maalum sana.
Nasisitiza: Ni MAONO tu!
Alisemaje?MANGE KIMAMBI PIA ALITOA MAONO YA NGUVU KABISA NA YENYE UHALISIA WA KIKI ... YAMETIMIA LEO...