Mbona Mkuu MWAKALINGA y. R amesema pale juu kua huyu ni binti wa kimombasa?? Kweli nimetokea kumpenda sana na zile Blue Outfit zake za Jana.Mtoto wa kikikuyu huyo ukichelewa kurudi tu anakupiga mangumi.. Si umesikia kenya wanawake wanapiga wame zao..
Halafu wana confidence hao, si unajua elimu ya kenya sio ya kata kama zetu
Ndiye huyu?...Kuna huyu binti anaitwa Lulu ananikosesha usingizi jamani. Yaani nkimuangalia tu basi mapigo ya moyo yanaenda kasi sana...
Wadau,
Nimekua nikifuatilia matokeo ya Uchaguzi wa Kenya kupitia TV Channel ya CITIZEN.
Kuna huyu binti anaitwa Lulu ananikosesha usingizi jamani. Yaani nkimuangalia tu basi mapigo ya moyo yanaenda kasi sana.
Ananifanya hata nashindwa kwenda kulala ili nibaki namuangalia yeye tu.
Yaani kuanzia shape yake mimi hoi, ukija kimo ndo kabisa natetemeka mwili. Upande wa sauti ndio siongei hata kidogo. Atleast ushungi nao ume-add value.
Midomo yake ni ile iliyobinuka Kwa style flani hivi ya Anjelie Jolie halafu kwenye macho yani akuongezea kula kungu basi nahonga kila nlichonacho. Age yake sijajua bado, but hawezi kua zaidi ya 28.
Wadau, huyu binti anautesa sana mtima wangu, naomba mwenye uwezo wa kupata contacts zake anisaidie please my fellow JF members.
Kumbe tupo wengi kaka me hapa nimeshindwa kwenda kulala nabaki namwangalia tu, mimi huu ushungi tu hoi.
Ananifanya hata nashindwa kwenda kulala ili nibaki namuangalia yeye tu.
Duh! Kumbe tupo wengi!
true. tupo wengi mdau Papa.
Jamani picha!
Isha Sasay wa CNN ..!