"Azinie na mwanamke hana akili kabisa afanya kitu kitakachoangamiza nafsi yake"
Tatizo jamaa aliyeogwa mtu wa kujiproud sana, msema maneno machafu. Alafu the way nivyoinunua nikikumbuka, inauma.
tatizo wakaka bila hata ya kuombwa mnaanza kutupa hela simu na shopping kalikali
hivi musipotoa hivi vitu hamuhisi kutumiliki????????????????
HUYU MDADA AKAREKODI MKANDA WA ----- AKUWEKEE KWENYE SIMU then akurudishie
Ulishaipitia ile sheria ya uchaguzi inayoruhusu takrima? Takrima haina risiti,lol
Ukome kuvamia fani ya UHONGAJI!!!!!!!!!!!! Uwe unahonga kwa stepu, sio kichwa kichwa!!!!! Hicho kisimu hakuna kukisamehe wala nini, wewe umekosea kuleta ubabe wakati kuku keshaliwa, haya zoa manyoya uende nayo nyumbani!!!!! Hapo inabidi kwanza umzidi akili, ikwemo kumdanganya simu isiwakosanishe, bado wampenda, akusamehe kumuweka ndani. Blah blah blah hadi aamini soo limeisha na amekutuliza ka maji ya mtungi. Subiria Mwezi hivi, jifanye una shida kinomaaa, mkope LAKI 5 akikupa tu mwambie ndo fidia ya SIMU, Achape lapa. Ila kiubabe ushapotezwaa kitambo!
Ukome kuvamia fani ya UHONGAJI!!!!!!!!!!!! Uwe unahonga kwa stepu, sio kichwa kichwa!!!!! Hicho kisimu hakuna kukisamehe wala nini, wewe umekosea kuleta ubabe wakati kuku keshaliwa, haya zoa manyoya uende nayo nyumbani!!!!! Hapo inabidi kwanza umzidi akili, ikwemo kumdanganya simu isiwakosanishe, bado wampenda, akusamehe kumuweka ndani. Blah blah blah hadi aamini soo limeisha na amekutuliza ka maji ya mtungi. Subiria Mwezi hivi, jifanye una shida kinomaaa, mkope LAKI 5 akikupa tu mwambie ndo fidia ya SIMU, Achape lapa. Ila kiubabe ushapotezwaa kitambo!
Like this!
Kama sie, unanunua pichu, unaifua kila siku. Mwenzio anaenda kuvuliwa, na anaivaa anarudisha home ifuliwe before next round! Mapenzi raha sana, mkizingatia separation of power.
Jamani Msandawe... Ilikuwaje? Hii kali! yaani nimeishiwa maneno.. Polee...
Wakikumegea demu wako nawe tafuta mnyonge ummegee haipunguzi maumivu inarudisha hadhi kiume- mwana FA
acha kulalamika na wewe tafuta mwingine wa kumliza
Wakikumegea demu wako nawe tafuta mnyonge ummegee haipunguzi maumivu inarudisha hadhi kiume- mwana FA
acha kulalamika na wewe tafuta mwingine wa kumliza
Nimemuonga Mpenzi wangu Sumsung Duos Galaxy GT B5512 jumatatu, jana kamuonga jamaa. Nimempeleka Police anirudishie kakataa kata kata sikumpa. Pamoja na yote police walimueka mahabusu baada ya saa limoja jamaa kamtoa. Je nimfanyaje?
Tatizo jamaa aliyeogwa mtu wa kujiproud sana, msema maneno machafu. Alafu the way nivyoinunua nikikumbuka, inauma.