Hivi alipigwa chini au alipigwa juu? Najiuliza tu!!
That maam ni mtupu sana....it should be posho...hak ya nani vile.....
Wadau ktk taarifa ya habari ya ITV ya usiku huu nimemuona Batilda Buriani akiwa pemben mwa Hawa Gasia katika mkutano wa uwekezaji,najiuliza kahudhuria kama nini?
kwani hana haki ya kuhudhuria kwenye mikutano?
Na jee ile mimba iliishia wapi?
Ntamfuata nimpe mimba mkose cha kuongea
Unamfahamu Hawa Ghasia lakini? Mama ana Masters kwenye Economics!That maam ni mtupu sana....it should be posho...hak ya nani vile.....
Wadau ktk taarifa ya habari ya ITV ya usiku huu nimemuona Batilda Buriani akiwa pemben mwa Hawa Gasia katika mkutano wa uwekezaji,najiuliza kahudhuria kama nini?