..........Sioni la kujadili hapa,kwani kuhudhuria ule mkutano ulipaswa ule na title gani? Kama ni wawekezaji, inawezekana nae ni muwekezaji...
Kwani hana haki ya kuhudhuria kwenye mikutano?
Na jee ile mimba iliishia wapi?
Hivi alipigwa chini au alipigwa juu? Najiuliza tu!!ilitoka baada ya kupigwa chini kwenye uchaguzi
Majibu yote sawa ndugu zangu!!
Wadau ktk taarifa ya habari ya ITV ya usiku huu nimemuona Batilda Buriani akiwa pemben mwa Hawa Gasia katika mkutano wa uwekezaji,najiuliza kahudhuria kama nini?
Tufike kipindi wana JF tuchambue mada kisomi,watz wana matatizo mengi tulete changamoto kwa ajili ya nchi yetu,tuwewanamageuzi.Hivi kumuona buriani ni topic?wa tz wanahitaji kusikia hili?nafikiri ungewauliza waandazi wa huo mkutano isitoshe ulitakiwa kujua sifa za kuhudhuria huo mkutano
Wadau ktk taarifa ya habari ya ITV ya usiku huu nimemuona Batilda Buriani akiwa pemben mwa Hawa Gasia katika mkutano wa uwekezaji,najiuliza kahudhuria kama nini?
Kwani hana haki ya kuhudhuria kwenye mikutano?
Na jee ile mimba iliishia wapi?
Wadau ktk taarifa ya habari ya ITV ya usiku huu nimemuona Batilda Buriani akiwa pemben mwa Hawa Gasia katika mkutano wa uwekezaji,najiuliza kahudhuria kama nini?
na huyu Hawa Gasia naye alihudhuria kama nani?
anajua lolote kuhusu mambo ya uwekezaji? au alifuata posho?