smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,542
- 11,887
....Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi......
....Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi......
Mara yako ya mwisho kumpiga ilikua lini?Hapana
Kuna demu mmoja wa Kihaya juzi nimempiga chini,maringo kibao show hana.Aisee pole Sana.
Siku hiz ndoa zinaangaisha Sana it seems.
Malalamishi yamezidi.
Hebu bebebi misalaba yenu basi
Shida yako ameshakuona huna ujanja wa kupata mademu wengine na kwake umekufa umeoza.Pia umaskini wako ndo ameushindwa.Samehe hiyo hela mpe nauli arudi kwao na jitahidi uhamie kwingine asipokujua na badilisha laini na anza kutafuta hela kwa bidii.Na toa taarifa OFISINI kwako ulishashindwana na mke ili akija asiambulie kitu wala kupewa msaada wowote kuhusu wewe.Mimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu.
Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko anavyonifanyia ni hatari. Hadeki, kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe hata kama mimi nina nyege ananiyima penzi.
Pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida. Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi.
Kinachoniuma ni pesa niliyomtolea. Naombeni ushauri ndugu zangu, nifanyeje? Pia, kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahari yangu?
Usitafute show za xvideos kwa mke mtarajiwaKuna demu mmoja wa Kihaya juzi nimempiga chini,maringo kibao show hana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio shida,Mimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu.
Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko anavyonifanyia ni hatari. Hadeki, kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe hata kama mimi nina nyege ananiyima penzi.
Pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida. Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi.
Kinachoniuma ni pesa niliyomtolea. Naombeni ushauri ndugu zangu, nifanyeje? Pia, kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahari yangu?
Sasa unaniambia Mimi ili iweje...Kuna demu mmoja wa Kihaya juzi nimempiga chini,maringo kibao show hana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah....mwanaume kumuacha mwanamke Ni rahisi sana....tatizo ni hiyo milioni na nusu ndiyo inamuuma 🤣🤣🤣Unalia kisa mkeo??? Aisee
Mnase mabanzi aondoke na chongoToa ushauri kaka
Mnase mabanzi aondoke na chongo
Neñda kamuuze mnàdani urudishe hela yàko..Mimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu.
Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko anavyonifanyia ni hatari. Hadeki, kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe hata kama mimi nina nyege ananiyima penzi.
Pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida. Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi.
Kinachoniuma ni pesa niliyomtolea. Naombeni ushauri ndugu zangu, nifanyeje? Pia, kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahari yangu?