Nimemtembelea Mjane Wa Daud Mwangosi...

ninashauri msimlundikie miradi mingi huyu mjane ... let her concentrate on one venture in which she is personally interested
 
Hivi ile huruma na ubinadamu wa JK uliishiaga wapi?haoni hata mateso ya mawazo ya huyu mama?kweli??wameshindwa hata kwenda kumpa pole tu?hata mkuu wa mkoa tu kwenda kumpa pole na kumsaidia kuhusu hao watoto??kweli pesa kitu kibaya sana!!JK amebadilika hivi?au yeye ndie alietoa order ya kuua kila mkutano wa CDM???
 
Hivi ile huruma na ubinadamu wa JK uliishiaga wapi?haoni hata mateso ya mawazo ya huyu mama?kweli??wameshindwa hata kwenda kumpa pole tu?hata mkuu wa mkoa tu kwenda kumpa pole na kumsaidia kuhusu hao watoto??kweli pesa kitu kibaya sana!!JK amebadilika hivi?au yeye ndie alietoa order ya kuua kila mkutano wa CDM???

Tumpe mda JK navyomjua siamini msiba huu hajaudhuria!!
 
Ni muhimu sana Ndugu Mjengwa uisaidie hiyo familia kutafuta wakili wa kuwasaidia kufungua kesi ya madai dhidi ya Polisi na Serikali ya Tanzania. They should sue the state (whose agents the Police are,) for at least two billion shillings.

Sidhani watoto wao wataweza kufanya mitihani mwaka huu. Let us be realistic. Itabidi waombewe kuahirisha kwa mwaka mmoja, na wapewe counselling tu kwa sasa
.

Mkuu Augustine Moshi,
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa watoto si rahisi kufanya mtihani wakiwa katika hali ya kawaida kiakili hasa ukitilia maanani mazingira ya kifo cha baba yao. Binafsi nafikiri lingekuwa wazo la busara kama michango iliyopatikana, ingetumika kiasi katika kulipa gharama kwa ama familia au watoto kupata ushauri nasaha wa kitaalamu.

Hata wazo la kutafuta wakili wa kuisaidia familia kutafuta haki yao mahakama ni wazo zuri sana, LAKINI sidhani kama kupita kwa Majjid Mjengwa linaweza kufanikiwa. Ni wazo linalotaka mtu wenye uthubuthu wa kuwaambia ukweli watawala, anayeamini kwenye haki za msingi za binadamu na ambaye ameguswa na unyama wa Polisi. Sizioni sifa hizo kwa Majjid.
 
Mkuu Augustine Moshi,
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa watoto si rahisi kufanya mtihani wakiwa katika hali ya kawaida kiakili hasa ukitilia maanani mazingira ya kifo cha baba yao. Binafsi nafikiri lingekuwa wazo la busara kama michango iliyopatikana, ingetumika kiasi katika kulipa gharama kwa ama familia au watoto kupata ushauri nasaha wa kitaalamu.

Hata wazo la kutafuta wakili wa kuisaidia familia kutafuta haki yao mahakama ni wazo zuri sana, LAKINI sidhani kama kupita kwa Majjid Mjengwa linaweza kufanikiwa. Ni wazo linalotaka mtu wenye uthubuthu wa kuwaambia ukweli watawala, anayeamini kwenye haki za msingi za binadamu na ambaye ameguswa na unyama wa Polisi. Sizioni sifa hizo kwa Majjid.

At least huyo Majjid unayemuona hana hizo sifa ametoka zaidi a kilomita 300 kwenda kumjulia hali mjane wa marehemu na kumtafutia the way forward, tofauti na wewe uliyekaa nyuma ya skrini ya hiyo device yako ukiandika maneno yenye lengo la kumkatisha mtu tamaa.
Nadhani jukumu la kumsaidia mjane wa Mwangosi sio la Majjid pekee, ni la kila mmoja wetu. Na itakua hatumtendei haki Majjid kama tutabeza juhudi zake.
Na kama unaona Majjid sio mtu stahili kwa nini usichukue wewe hilo jukumu la kumsaidia mjane wa Mwangosi kutafuta haki yake Mahakamani?
Majjid Mjengwa nakuheshim na naomba Mungu akupe nguvu ili uzidi kumsaidia mjane na familia ya marehemu Mwangosi ambaye Kamuhanda aliamua amnyang'anye uhai wake.
 
Maggid hongera sana kwa moyo wa upendo unaoendelea kuuonyesha kufuatia kifo cha Mwangosi, Mungu atakulipa. Keep It Up!
 
nimemuona leo kwenye gazeti la nipashe Dr. Asha Migiro akicheza ngoma nikashangaa sana aliyekuwa naibu katibu wa UN

ni cheo kikubwa sana Leo hii haki za binadamu zinavunjwa hata kutoa tamko hakuna jamani angalau hata kulaani hakuna.

utetezi wa haki za binadamu unaishia Newyork tu. ukitoka kuja Tanzania unakaa kimya kuhusu haki za binadamu wakati

raia wakiuawa bila hatia. waandishi jaribuni kutusaidia kupata maoni yake tukione hicho kigugumizi chake cha kukataa

kumuhudhi jk

Huyu Mama alibebwa kwa mbeleko Kwenda Huku Unategemea nini Kipya Kutoka kwake? Ndio Maana waliona ni bora kumrudisha Kupumzika kwani alikuwa Hana Msaada wowote Huko!!
 
nimemuona leo kwenye gazeti la nipashe Dr. Asha Migiro akicheza ngoma nikashangaa sana aliyekuwa naibu katibu wa UN

ni cheo kikubwa sana Leo hii haki za binadamu zinavunjwa hata kutoa tamko hakuna jamani angalau hata kulaani hakuna.

utetezi wa haki za binadamu unaishia Newyork tu. ukitoka kuja Tanzania unakaa kimya kuhusu haki za binadamu wakati

raia wakiuawa bila hatia. waandishi jaribuni kutusaidia kupata maoni yake tukione hicho kigugumizi chake cha kukataa

kumuhudhi jk

Usishangae, akili za kiCCM huwa hazifanyi kazi nje ya box...

Wao kucheza ngoma, kupiga makofi ndio style yao ya maisha. Mtu aliyepitia CCM hata akija kuwa Katibu mkuu wa UN akiachwa dakika 2 tu anapiga dili.
 
Magidi asante kwa taarifa pia nakuomba hakikisha vigogo walioahidi kuwasomesha watoto hawa wanafungua bank account kwa kila mtoto ikwa na karo na pesa za matumizi mengine wasijikute wanakuwa ombaomba kila watakapo kulipa karo.
 
Wakati wa Vita ya pili ya Dunia inapamba moto na Hitler anawaua wayahudi na kanisa Katoliki likiwa kimya.............Padre mmoja wa Kikatoliki akiitwa Bonhefer (if am correct kama alikuwa padre au askofu) Alisema "Tumechoka kutibu majeraha ya vidonda vinavyosababishwa na kugongwa na tairi sasa ni jukumu letu kulistopisha tairi lisiendelee kusababisha majeruhi wapya"

Hitler aliudhika sana ingawa ujumbe ulifika na hatimaye Hitler akawa historia.
Ni muhimu kuchukua hatua zaidi ya hii ya kutibu majeraha.
 
Kila ninapoikumbuka familia hii, machozi yananibubujika, na mara zote huwa najiweka katika nafasi ya watoto hawa na mama yao, kila wanapokutana na polisi, just imagine ni hisia gani wanazopata.Hawa watoto watakuwa na attitude negative sana na mbaya sana kuhusu jeshi la polisi na kwa matatizo yoyote yale watakayokutana nayo, watakuwa wanajisemea mioyoni mwao, "Kama siyo baba yetu kuuawa na Polisi tusingepata matatizo haya". Nina imani hawa watoto kama wangaliweza wangelipiza kisasi siku moja.
...Mkuu ni kweli kabisa unachosema. Hata wao katika maisha yao kuanzia sasa na huko mbeleni panapo uzima watakuwa na chuki kabisa kila wanapokutana na polisi....kwa kweli kuna haja ya kufungua kesi ya madai dhidi ya hawa polisi...
 
..kama jamaa anamiliki studio..nashauri hao watoto wake hasa huyo anayemaliza kidato cha 4..asomee fani ya uandishi wa habari na upigaji picha ili aje kufanya kazi katika ofisi ya baba yao...ningekua iringa ningemfundihs editing na graphic bureee...na hata camera work pia...
 
Ushauri wa mjane kwa mwanae kuhusu elimu umenigusa sana.

Maggid umetenda vyema kufanikisha ulilolianzisha.
 
..kama jamaa anamiliki studio..nashauri hao watoto wake hasa huyo anayemaliza kidato cha 4..asomee fani ya uandishi wa habari na upigaji picha ili aje kufanya kazi katika ofisi ya baba yao...ningekua iringa ningemfundihs editing na graphic bureee...na hata camera work pia...
 
Ni muhimu sana Ndugu Mjengwa uisaidie hiyo familia kutafuta wakili wa kuwasaidia kufungua kesi ya madai dhidi ya Polisi na Serikali ya Tanzania. They should sue the state (whose agents the Police are,) for at least two billion shillings.

Sidhani watoto wao wataweza kufanya mitihani mwaka huu. Let us be realistic. Itabidi waombewe kuahirisha kwa mwaka mmoja, na wapewe counselling tu kwa sasa
.


Hata mimi na mashaka na hili!
Ukizingatia zile picha za maiti ya baba yao kama waliziona mtandaoni .mh inatisha sana
 
Jamani kweli inasikitisha sana kifio cha mwandishi huyu ambaye mimi namwita ni kijana sana
Amepoteza uhai wake wakati watoto na mkewake bado wanamuhitaji
LAKINI MUNGU ALIJUWA HILI LITATOKEA HIVYO AMETAYARISHA NA MLANGO WA KUTOKEA
JIPE MOYO DADA NA MTAZAME YESU NA KUWAOMBEA WATOTO WAKO
MUNGU AKUPE MOYO MKUU
NAKUOMBEA
MAMA ANNA
DAR ES SALAAM
 
Back
Top Bottom