sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Mie nilikuwa nimekumiss wewe but vile ushajitokeza hapa roho yangu burudani kama nimemeza bonge la barafu... Tehe.Mie nimemmiss Rose1980.......sijui yuko wapi!
Mie nilikuwa nimekumiss wewe but vile ushajitokeza hapa roho yangu burudani kama nimemeza bonge la barafu... Tehe.Mie nimemmiss Rose1980.......sijui yuko wapi!
Mie nilikuwa nimekumiss wewe but vile ushajitokeza hapa roho yangu burudani kama nimemeza bonge la barafu... Tehe.
Lol... Asante sana kipipi... Itabidi nikupitie badae tupange mikakati ya kwenda kumtafuta washawasha manake sio bure asee, mara ya mwisho ilikuwa amrudishe wife kwao...Usijali barafu wa moyo kipepeo cha nafsi, nimefurahi kukuona new year ikiwa bado changa!! Leo hakuna kulog off kama washawasha!!
kujipaisha vipi mkuu?Watu kwa kujipaisha humu dah!
ndicho kilichonifanya na mie nistuke kidogo,mara ghafla simuoniKweli kabisa, mie pia nimemmiss sana, sijui amepatwa na nini huyu mwenzetu manake alikuwa na mahudhurio mazuri jf mara ghafla kapotea..
sio kila unachokifanya wewe ukadhani na wenzio wako hivyo ndugu yangu.Mie huyu mtu sijui kwa sura wala nini ila ni urafiki wa hapa jamvini ndio ulionivutia kwake.una maana ana ID mbili kama mimi?
wewe utakuwa na walakini katika ubongo wako.Dhahiri washairi
tumwombe alog in .Ame log off mazima
source-excellent
huyo mwafrika halisi lazima atakuwa anafikiria kwa kutumia massaburi.duh? Kwa hiyo Washa anadai kuwa amejimiss...
nimemgongea hodi kule kwake lakini haitikii,sijui tatizo nini?Washawasha where a u.
huu ni ukweli mtupu.Washawasha is missed by most of us! Where iz he? Nalog off
nami piamiss you Washawasha.
sijakuelewamic me maswagga na mm najipaisha
duh! mbona umesema hivyo ndugu yangu?R.I.P Washawasha, just in case..!
tumwombe M/Mungu amrudishe huyu mtuWeee koma, navyompenda Washawasha na makeke yake na chungwa lake, dah.
mjini kumemshinda,muulize huyo aliyekwambia ni shamabani kupi ?washawasha nilisikia alisharudi shamba.