Habari,
Nimeajiri vijana kwa takriban siku 24 wanisaidie kupeleleza mienendi ya mke wangu, wamenipa taarifa na picha ya kijana anaye mdanganya mke wangu.
Wakubwa na watu wenzangu wazima, hivi nikimpiga risasi huyu nitakuwa nakosea? Sitaki nifike huko ila nalazimishwa. Nimetuma vijana wangu wampe onyo kisha waje kunipa mrejesho.
Wakubwa wenzangu, naombeni ushauri kwa hili kabla kijana wangu hajaondoka kwani akiondoka sitaweza kuingia tena JamiiForums.
Nimeajiri vijana kwa takriban siku 24 wanisaidie kupeleleza mienendi ya mke wangu, wamenipa taarifa na picha ya kijana anaye mdanganya mke wangu.
Wakubwa na watu wenzangu wazima, hivi nikimpiga risasi huyu nitakuwa nakosea? Sitaki nifike huko ila nalazimishwa. Nimetuma vijana wangu wampe onyo kisha waje kunipa mrejesho.
Wakubwa wenzangu, naombeni ushauri kwa hili kabla kijana wangu hajaondoka kwani akiondoka sitaweza kuingia tena JamiiForums.