klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,143
Dah!......
Nimeona, hajui raha ya sifa usifiwe, si kujisifia.
Si nilikwambia mie nimeoa...........
Haya mambo ya kuanikana humu mie siyapendi kabisa..................LOL
Nyimbo ya taifa haichezwi disco,cku moja2 ushatamani kumbwaga boyfrnd wako?kwahlo cna iman tena na mpnz wngu kumbe wanawake ndo mlvo?
Usitupe chembachao kwa msala upitao. Fikiria mara mbili maamuzi yako usije kujilaumu wewe mtu umemuona siku moja umejuaje kama ni mwema kwako mimi sikushauri endelea na urafiki tu. Tena anaweza kuwa rafiki mwema kuliko mkiwa wapenzi.
Si nilikwambia mie nimeoa...........
Haya mambo ya kuanikana humu mie siyapendi kabisa..................LOL
Umenikuna bee!better the devil you know than the angel you dont know...
Habari zenu wana jr..i hope mnaendelea vyema na ujenz wa Taifa
jaman me nmekuja hapa cjui nielezee vipi lakini kikubwa ni kuwa nimemiti na rafiki yangu wa humu jamii forums ni HB alafu kuna vitu flan flan nmevipenda kwake alafu ni mchesh mby kitu ambacho ndo nmevutiwa nacho saana na kwa ujumla binafsi nimevutiwa nae sana tumepeana kampany sana tuu na nliinjoy sana naye pia kaonyesha kunpenda na kwa jinsi nnlivyomsoma hana girl ambae amejicomit kwake kikubwa kinachotaka kujitokeza ni kuwa najifill nataka kumpenda sana ukizingatia me teyar nna Boyfrind
wapendwa nishaurini nifanyaje nsije nkalikoroga kwa mpenz wang
manka utasababisha wadadaz wengine nao waanza kutamani ku meet na mimi.