Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,308
- 105,627
Halafu mtaishi bila kuoa na 'Uhuni' wenu hadi lini?
Miaka yote. Why not?
Halafu mtaishi bila kuoa na 'Uhuni' wenu hadi lini?
Katika hali nisioitegemea tumegongana ana kwa ana guest mi na shemeji yangu wa karibu ambae mme wake tunafanya kazi pamoja.
Mimi nikiwa nampeleka mgeni wangu kwenye chumba alichofikia mara ghafla chumba chumba cha pili mlango ulifunguliwa na kikatokea kichwa tu kugeuka tukagongana ana kwa ana huyo shemeji yangu ilichukua takriban sekunde 30 kukodoleana macho na baada kutoa salam sauti ya chini mimi niliingia chumba cha mgeni wangu kumuaga na kumtakia safari njema .
wakati natoka huku mwili ukiwa umekufa ganzi kwa kutoamini nilichokiona kwa shemeji yangu na kutambua alienipokea zamu ya lindo saa 12 jioni mke wake ana madudu niliishiwa nguvu kabisa, alikuja mhudumu wa ile guest akaniitia chemba baadae akaja jamaa ambae sikuweza kumtambua kutokana na mazingira na kunieleza kilichotokea muda mfupi uliopita anaomba iwe niifanye kuwa siri kwanza ametokanae mbali isitoshe ni mzazi mwenzie.
Na akanikabidhi elfu 70 ambayo mi nilikataa kuipokea huku nikimwambia kwasasa nahitaji kuwahi nyumbani mambo mengine tutawasiliana kwa simu ili kukwepa ushaidi niliondoka lakini hatua chache baadae ilipigwa sim kuingalia ilikuwa ya shemeji yangu akinisihi lile suala anaomba liwe siri kwa gharama yoyote ile na nimpe muda mfupi mtu wake anafanya michakato ya hela soon nitapata kwa njia ya M-pesa.
Kubwa kwangu jamaa tumetokanae mbali sana urafiki kwetu ni zaidi ya ndugu tumesoma shule ya msingi moja tumeachana sec. tumeingia depo pamoja na kupangiwa kituo kimoja yaani kama bahati tu hofu yangu ni kwamba asikie hii isue najua alaf sikumpa taarifa atanionaje mimi?
Mpaka sasa natambua kwamba ameoa na ana watoto wawili huyu jamaa ameniambia kwamba ni mzazi mwenzie nashindwa kuelewa na proces zote za uchumba mi nilihusika na sikuambia kama amezaa, katika nyakati tofauti nimeingiziwa kwa mpesa zaidi mil. 1.2 kwa saa 17
nifanyeje?
Ningepata mtaji wa kufungua kiduka changu hapa home.
Mkuu nilichojifunza hapa kwenye huu uzi ni UNAFIKI uliopituka wa binadamu!Dhambi ya usaliti si ya kuipotezea kirahisi hivyo!Hapo ni kumwambia jamaa live na hela hamna kurudisha!Kwani hongo aliomba hiyo!Huyo mwanamke ni zaidi ya MUUAJI!Atashindwa vipi siku moja kumpa sumu mumewe ili atanue kwa uhuru na jamaa?THINK TWICE!
Yaani mwanamke mwenyewe kaolewa na jamaa mlinzi wa usiku alafu aogope kuachwa .angali yuko na mwanaume anayeweza honga zaidi ya m kwa siku? alafu cha kushangaza zaidi huyo mwanamke wala hana mapenzi kwa huyo mumewe mlinzi.
sasa si bora aachane naye huyo uyo anayeweza honga zaidi ya m kwa siku ampangie chumba cha cha elfu 30, ambapo kwa mwaka ni laki 3 na nusu tu ili awe akimfaidi muda wote anaotaka.
Huyo jamaa mwenye uwezo wa kuhonga zaidi ya m kwa siku anamuogopa mlinzi wa usiku anayelipwa maximum laki 2 kwa mwezi? angali huyo mwanamke anaweza tafuta kasababu tu kadogo labda kutokupika au kuzidisha chumvi alafu huyo mumewe akimgombeza abebe nguo zake aondoke aende kwa huyo ampendae.
HII STORI NI YA KUPIKWA.
Una akili sana,, chukua like 8000 manually
umeonaeeeeemmmh hapo kwenye swala la kuacha pesa pagumu kidogo...anyway as wadau walivyosema akili za kuambiwa changanya na zako, angalia effects za kusema na kutokusema then uone wapi kuzito then goo...
kyana kya muhaya nakusubili kwa ushauri tafadhari!Natafuta Maneno ya kukushauri, nitarudi tena.
kyana kya muhaya nakusubili kwa ushauri tafadhari!
waliopita nimewaelewa hata wewe unarudia kule wenzako walikopita nilifikiri naweza kupata mawazo mbadala toka kwa waliotangulia na ni mule muleRudisha pesa za watu na uwaahidi kutosema chochote. La sivyo watakufuata kwa bodaboda. Do you understand?
mashaka yako ni yapi? bwana mdogo usitake niamini kwamba wewe ni bwana mdogo wakati mawazo yanko ni mazuri!Umetuambia ulimpeleka mgeni wako! Ebu tuambie kwanza kama wewe umeoa au la! Na mkeo alijua kwamba muda huo unampeleka mgeni wako guest?,Je wakati wewe na mgeni wako mupo hapo guest house unauthibitisho gani ili tuamini mkeo (kama unae)alikuwepo nyumba kwako kama na yeye hakumpeleka mgeni wake kwenye guest house ya mtaa wa pili?.ACHANA NA YA WATU FANYA YAKO MKUU.Daaah! ila hiyo ya kurudisha pesa ni ajenda
nyingine.
Halafu wahuni tukikataa kuoa kama wake wenyewe ndio hawa mtatulaumu?
siwezi kuliingilia hilo sababu liko nje ya uwezo wanguMwambie afande mwenzako apige kazi ya maaaana unaona sasa mpaka mke anaenda kigawa kipoch manyoya nje
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨