ALAWY
Member
- Jun 8, 2012
- 15
- 3
Kwenye tweet ya Zitto jana amemsema Sumaye kuwa si yule yule tuliyeaminishwa kuwa si msafi iweje leo ajifanye msafi, akamalizia kwa kusema 'watanzania tuna ugonjwa wa kusahau" ujumbe ni huo ila sijanukuuu kama alivyoandika.
Zitto, usahaulifu wetu watanzania ndio mtaji wenu wanasiasa wote, ila wenzako wakiutumia huo mtaji wewe unakasirika mpaka kufikia kututukana kuwa tuna ugonjwa wa kusahau vipi bwana. Je tusingekuwa wasahaulifu, tungekukumbusha kuwa ulisema umeacha siasa na sasa unafanya nini?, tungekukumbusha mambo mengi ambayo umekuwa ukiahidi bila kutekeleza.
Wewe ukiwa mtanzani mbona unaonekana mgonjwa zaidi ambaye unasahau hata yako wewe mwenyewe bora sisi timesahau ya watu yetu tunakumbuka. Acha hasira, kuwa mwanasiasa si kila atamkaye lazima umjibu, utajiharibia mwenyewe.
soma hapa tafadhali,na sijui umetumwa na nani kumjibu?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-tujadili-ni-sifa-zipi-kiongozi-awe-nazo.html