Calamity
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 856
- 47
mmh! hilo nalo neno.....!Kazitto kanafiki tu
mmh! hilo nalo neno.....!Kazitto kanafiki tu
Jamaa anadhani tumesahau kuwa yuko kwenye payroll ya Nimrod...
Jamaa anadhani tumesahau kuwa yeye ndiye alianza kumshambulia Lema kwenye Twitter mpaka Lema akakosa uvumilivu na kumwaga ugali na mboga hapa JF
Zitto ana ugonjwa wa kusahau!
Jicho kwa jicho,jino kwa jino!
Teh teh teh!tweet kwa tweet,JF kwa JF
Mtu ametoa hoja kwenye tweet,wewe unakuja kumjibu JF huu ni unafiki [kwanini usimjibu kwa uwazi badala ya kutumia anonymously ?].
Jicho kwa jicho,jino kwa jino!
Teh teh teh!tweet kwa tweet,JF kwa JF
Mtu ametoa hoja kwenye tweet,wewe unakuja kumjibu JF huu ni unafiki [kwanini usimjibu kwa uwazi badala ya kutumia anonymously ?].
Usahaulifu ndio unaofanya watu wasahau kuwa Dr. Slaa alidanganya live kuhusu uwepo wa kipengele cha katiba ya Chadema.
Usahaulifu ni mtaji wa walaghai...
sasa anamlalamikia nani kama sote tuna ugonjwa wa kusahau? Taifa la malalamiko hiliSasa mkuu kama kasema "watanzania TUNA ugonjwa wa kusahau, mapovu ya nini... maana na yeye kaji-includr. Angesema MNA ugonjwa wa kusahau hapo sawa...
Kwenye tweet ya Zitto jana amemsema Sumaye kuwa si yule yule tuliyeaminishwa kuwa si msafi iweje leo ajifanye msafi, akamalizia kwa kusema 'watanzania tuna ugonjwa wa kusahau" ujumbe ni huo ila sijanukuuu kama alivyoandika.
Zitto, usahaulifu wetu watanzania ndio mtaji wenu wanasiasa wote, ila wenzako wakiutumia huo mtaji wewe unakasirika mpaka kufikia kututukana kuwa tuna ugonjwa wa kusahau vipi bwana. Je tusingekuwa wasahaulifu, tungekukumbusha kuwa ulisema umeacha siasa na sasa unafanya nini?, tungekukumbusha mambo mengi ambayo umekuwa ukiahidi bila kutekeleza.
Wewe ukiwa mtanzani mbona unaonekana mgonjwa zaidi ambaye unasahau hata yako wewe mwenyewe bora sisi timesahau ya watu yetu tunakumbuka. Acha hasira, kuwa mwanasiasa si kila atamkaye lazima umjibu, utajiharibia mwenyewe.
Kama na haya yaliyomo kwenye ripoti hii ameyasahau na anayakanusha, basi zitto ni kiboko ya wasahaulifu:-Kazitto kanafiki tu
Unayosema ni kweli, lakini wanavuruga. Nimemfuatilia Zitto nyendo zake hayuko OBJECTIVE, hana sura he is someone with no faces, no direction can lead us to hell.
Adui yako akiwa anatafuta kamba mpe!!!!!
Hasa kama ni ya kujinyonga.