Nyetk
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,648
- 1,696
- Thread starter
- #61
Huo ni woga wa bure, yale mambo ya mabwepande hatuyafanyi Mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, Tuombe radhi!!!
Mkuu naomba radhi kwa dhati. Hata hivyo unajua pindi kama ingetokea kweli nimchape kiatu cha Bush sana sana msamaha ambao ningepata ni ni kutunzwa stoo baada ya kisago cha mbwa. Baada ya Iddi tu ni Mabwe, au uwongo sheikh?