Sina hakika, ngoja warudi walokwenda tuwaulize.
]Wapi[/COLOR] natumia lipi?
mbona naona wengine kama hawafuturu wanakula dinner kwani wote wamefunga hao? namuona baba bottom hapo na muheshimiwa sitta au ndio kualikana kwenyewe huku?
Na unajua mimi ningeenda ili tu nami nishiriki kula kodi yangu coz kwani unadhani hiyo bajeti ya futari imetoka wap?Tatizo huwa zinakuja zimeandkikwa jina toka huko. Anyway, next time nistue nikupigie pasi ya kisigino ukalambe.
Kumbe hata MAKAFIRI oppppssss wakristu wanafuturishwa?!!!
Yule sio MBATIA kweli au kasilimu siku hizi?!
Mkuu kuna kitu kinaitwa Coexistence dini zetu haziwezi kamwe kutufanya kuwa na uadui sisi ni wamoja toka zamani.
Mkuu njiwa sadaka ya chakula kwa mtu yoyote kwa muislam ana asiyekuwa muislam...jamaa wanataka kuleta chuki bila sababu za msingi.