Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,007
Moderator naomba usifute uzi au kuunganisha.
Pia uzi haujajikita kumjua mwanamke bali ni jinsi ya kuishi nae kwa sababu tunaishi na wanawake kama wapenzi wetu na kama wake
Na pia ni mtizamo wangu kwako msomaji unaweza usihafiki
Kwa mda nilioishi hapa dunian huu ndo mtizamo wangu na maon yangu juu ya kauli ya muishi na mwanamke kwa akili
Kuwa Muongo kiasi na sio sana
Hii ndo point namba moja ya kuish na mwanamke kwa akili kuanzia kwenye kumtongoza mpaka kwenye kuish nae kwa asilimia kubwa uongo inabid utumike kwa asilimia kubwa sana ili mahusiano yako na mwanamke/mke yadumu, uongo ninaoungelea ni ule wenye tija usiwe mkweli sana kwa mwanamke/mke wako sababu kubwa kiasili wanawake wanapenda fantasy na ni ngumu kuweza kutoa majibu ya moja kwa moja juu ya fantasy zao
Puuzia baadhi ya mambo anayofanya mwanamke
Kuna mambo mwanamke anaweza kukufanyia as long hayana negative impact kwenye mahusiano yenu au maisha yako achana nayo wala usiangaike nayo
Msikilize mwanamke wako kwa makini hata kama anaongea pumba
Mwanamke anapenda kusikilizwa hata kama anaongea pumba msikilize na mwambie utafanyia kazi usimcrash kabisa tafuta mda akiwa na furaha kile ulichoniambia hakiwezekan kwa sababu hizi na hizi
Usiyataje makosa ya mke wako wazi wazi mbele ya kadamnasi, kuyaropoka mbele za watu, au kwa watoto wako
mfano mke wako anaweza akawa amekupikia chakula kibaya kwa siku usimbwatukie tafuta mda akiwa na furaha mwambie kistaarabu, wanawake hawapendi kupingwa hasa anapokuambia jambo
Kubaliana na udhaifu wa mke wako wala usiangaike nao kuubadilisha
Usijaribu kubadilisha madhaifu ya mke wako/mwanamke wako kubalina nayo na ishi nayo na wala usipende kumwambia au kuyataja mbele za watu au kumtamkia kwa hasira yasitiri
Usimwambie mwanamke jambo flani huwez hata kama kweli huwezi kama mwanaume hautakiwi umwambie mwanamke au mke wako huwez ni kosa kubwa sana
Usimpe mke wako akuhifadhie fedha zako
Epukana na hili kosa kamwe mwanamke asiwe mtunzaji wa fedha zako, hakikisha unazitunza wewe mwemyewe
Usimwambie mwanamke huna hela hata kama kweli huna
Kosa kubwa kwa wanaume wengi ni kuwaambia wanawake zao hawana hela pale wanapohitaji tafuta namna ya kumjibu lakin usimwambie huna hela
Usipende sana kusifia sana mafanikio ya wanaume wengine waliofanikiwa zaid yako mbele ya mwanamke wako/mke wako. Hili ni kosa wanalofanya wanaume wengi hata kama ni rafiki zako wanamafanikio zaid ya mke wako usipende kuwasifia mbele ya mke wako au mwanamke wako hilo ni kosa kubwa sana
Sio kila jambo la kumwambia mke wako
Mfano unataka kusaidia ndugu zako usipende kumwambia mke wako hii ni kwa sababu wanawake wengi hawapendi ndugu wa mwanaume ni wachache sana watakaokua wanapenda ndugu zako kutoka moyoni na kwenye kuwasaidia wengi hawapendi kabisa, kama umepata mtoto nje ya ndoa usimwambie au usimlete mtoto wa nje ya ndoa uishi nae mara nyingi hawa watoto wa nje ya ndoa wanaondoaga aman kwenye ndoa ni bora mchepuko mwenye mtoto wako umpangie chumba/nyumba na umpe matunzo na sio umlete mtoto ndani ya nyumba, biashara zako zote usimwambie, mwambie baadhi au mishe zako za kupata hela hatakiwi kuzijua zote bali azijue baadhi
Mwanamke wako asijue ratiba yako ya kila siku mda mwingine unarudi nyumban saa tano asubuhi mda mwingine saa tano usiku bila kumpa taarifa akikulalamikia msikilize wala usimpe jibu baya au mwambie utalifanyia kazi usibishane nae
Usipende ligi/mabishano na mke wako au mwanamke wako
Mwanaume huwa anaongea mara chache usipende sana ligi na mke au mwanamke wako ukishaongea msimamo wako we endelea na mambo yako mwache aendelee kulalamika au kuongea
Pia uzi haujajikita kumjua mwanamke bali ni jinsi ya kuishi nae kwa sababu tunaishi na wanawake kama wapenzi wetu na kama wake
Na pia ni mtizamo wangu kwako msomaji unaweza usihafiki
Kwa mda nilioishi hapa dunian huu ndo mtizamo wangu na maon yangu juu ya kauli ya muishi na mwanamke kwa akili
Kuwa Muongo kiasi na sio sana
Hii ndo point namba moja ya kuish na mwanamke kwa akili kuanzia kwenye kumtongoza mpaka kwenye kuish nae kwa asilimia kubwa uongo inabid utumike kwa asilimia kubwa sana ili mahusiano yako na mwanamke/mke yadumu, uongo ninaoungelea ni ule wenye tija usiwe mkweli sana kwa mwanamke/mke wako sababu kubwa kiasili wanawake wanapenda fantasy na ni ngumu kuweza kutoa majibu ya moja kwa moja juu ya fantasy zao
Puuzia baadhi ya mambo anayofanya mwanamke
Kuna mambo mwanamke anaweza kukufanyia as long hayana negative impact kwenye mahusiano yenu au maisha yako achana nayo wala usiangaike nayo
Msikilize mwanamke wako kwa makini hata kama anaongea pumba
Mwanamke anapenda kusikilizwa hata kama anaongea pumba msikilize na mwambie utafanyia kazi usimcrash kabisa tafuta mda akiwa na furaha kile ulichoniambia hakiwezekan kwa sababu hizi na hizi
Usiyataje makosa ya mke wako wazi wazi mbele ya kadamnasi, kuyaropoka mbele za watu, au kwa watoto wako
mfano mke wako anaweza akawa amekupikia chakula kibaya kwa siku usimbwatukie tafuta mda akiwa na furaha mwambie kistaarabu, wanawake hawapendi kupingwa hasa anapokuambia jambo
Kubaliana na udhaifu wa mke wako wala usiangaike nao kuubadilisha
Usijaribu kubadilisha madhaifu ya mke wako/mwanamke wako kubalina nayo na ishi nayo na wala usipende kumwambia au kuyataja mbele za watu au kumtamkia kwa hasira yasitiri
Usimwambie mwanamke jambo flani huwez hata kama kweli huwezi kama mwanaume hautakiwi umwambie mwanamke au mke wako huwez ni kosa kubwa sana
Usimpe mke wako akuhifadhie fedha zako
Epukana na hili kosa kamwe mwanamke asiwe mtunzaji wa fedha zako, hakikisha unazitunza wewe mwemyewe
Usimwambie mwanamke huna hela hata kama kweli huna
Kosa kubwa kwa wanaume wengi ni kuwaambia wanawake zao hawana hela pale wanapohitaji tafuta namna ya kumjibu lakin usimwambie huna hela
Usipende sana kusifia sana mafanikio ya wanaume wengine waliofanikiwa zaid yako mbele ya mwanamke wako/mke wako. Hili ni kosa wanalofanya wanaume wengi hata kama ni rafiki zako wanamafanikio zaid ya mke wako usipende kuwasifia mbele ya mke wako au mwanamke wako hilo ni kosa kubwa sana
Sio kila jambo la kumwambia mke wako
Mfano unataka kusaidia ndugu zako usipende kumwambia mke wako hii ni kwa sababu wanawake wengi hawapendi ndugu wa mwanaume ni wachache sana watakaokua wanapenda ndugu zako kutoka moyoni na kwenye kuwasaidia wengi hawapendi kabisa, kama umepata mtoto nje ya ndoa usimwambie au usimlete mtoto wa nje ya ndoa uishi nae mara nyingi hawa watoto wa nje ya ndoa wanaondoaga aman kwenye ndoa ni bora mchepuko mwenye mtoto wako umpangie chumba/nyumba na umpe matunzo na sio umlete mtoto ndani ya nyumba, biashara zako zote usimwambie, mwambie baadhi au mishe zako za kupata hela hatakiwi kuzijua zote bali azijue baadhi
Mwanamke wako asijue ratiba yako ya kila siku mda mwingine unarudi nyumban saa tano asubuhi mda mwingine saa tano usiku bila kumpa taarifa akikulalamikia msikilize wala usimpe jibu baya au mwambie utalifanyia kazi usibishane nae
Usipende ligi/mabishano na mke wako au mwanamke wako
Mwanaume huwa anaongea mara chache usipende sana ligi na mke au mwanamke wako ukishaongea msimamo wako we endelea na mambo yako mwache aendelee kulalamika au kuongea