Usione soo, sema nae! Wahi kabla hujawahiwa! Mie ntakuwa mshenga usinisahau!Wewe umezimia Avatar tu!
Mimi nimemzimia yeye mwenyewe
Usione soo, sema nae! Wahi kabla hujawahiwa! Mie ntakuwa mshenga usinisahau!
Hapa pana waharibifu wa ndoa za watu nam PM Saint Ivuga amfunike tena Mwali wake vidume vishaanza uchokozi!
Sio anatoka na Mwali? Mke na mume wale we ngoja utolewe meno ya sebuleni, na hivi anacheza kung-fu alifundishwa na Mtambuzieeeh...kumbe Saint Ivuga...anatoka na Mwali....!!!
Sio anatoka na Mwali? Mke na mume wale we ngoja utolewe meno ya sebuleni, na hivi anachezaalifundishwa na Mtambuzikung-fu
sasa ulikuwa hujui nini?eeeh...kumbe Saint Ivuga...anatoka na Mwali....!!!
sasa ulikuwa hujui nini?
nilikua cjui mtu wangu
hata mimi nilikuwa najua kuwa wewe hujui ila umeshajua. muacheni black beuty wangu nitaua ntu jomba