Nimeitwa UNV

Kwanza kabisa namshukuru mola wangu na wenu kwa bahati hii japo sijafanya maamui bado, nimeitwa unv west africa .. Nimekuwa kwenye rosta ya unv kwa toka mwaka 2002 na nimeshitwa mara tatu moja nilikataa maana ilikua short mission ya south sudan wakati ule wa uchaguzi na nyingine ilikua ya afghanstan hii sikuiona email yako ilikua trashed kama junk mail. Jana tena wamenitumia offer nyingine ya west africa ,, naombeni msaada kwa wale walopata kufanya kazi za unv complete parkage yao huwa kiasi gani,, yaani ile take home.

Mwisho kabisa na himiza vijana kujisajili na hawa jamaa wa unv,, ni wakweli na hawana mambo ya mlango wa nyuma ukijisajili kwenye system yako unapewa rosta number yao system iki match unaitwa,, kunajamaa yangu yuko un leo alianzia hapa mwaka 1998 mpaka leo ni mwajiriwa wa un full time.

UNV ndo nn maana mnaongea kama vishazi tegemezi mtufafanulie tujue nasisi basii
 
Kwanza kabisa namshukuru mola wangu na wenu kwa bahati hii japo sijafanya maamui bado, nimeitwa unv west africa .. Nimekuwa kwenye rosta ya unv kwa toka mwaka 2002 na nimeshitwa mara tatu moja nilikataa maana ilikua short mission ya south sudan wakati ule wa uchaguzi na nyingine ilikua ya afghanstan hii sikuiona email yako ilikua trashed kama junk mail. Jana tena wamenitumia offer nyingine ya west africa ,, naombeni msaada kwa wale walopata kufanya kazi za unv complete parkage yao huwa kiasi gani,, yaani ile take home.

Mwisho kabisa na himiza vijana kujisajili na hawa jamaa wa unv,, ni wakweli na hawana mambo ya mlango wa nyuma ukijisajili kwenye system yako unapewa rosta number yao system iki match unaitwa,, kunajamaa yangu yuko un leo alianzia hapa mwaka 1998 mpaka leo ni mwajiriwa wa un full time.
ingia kwenye website ya unv utapata informations zote.just goggle UNV itakuletea informations mbalimbali then utachoose unayoitaka.but one of them ni kuwa tayari kufanya kazi kwenye mazingira magumu, na huchagui wapi pa kupangwa,utaenda kokote watakapokupanga.hongera.usiiachie hiyo nafasi, itumie.
 
ingia kwenye website ya unv utapata informations zote.just goggle UNV itakuletea informations mbalimbali then utachoose unayoitaka.but one of them ni kuwa tayari kufanya kazi kwenye mazingira magumu, na huchagui wapi pa kupangwa,utaenda kokote watakapokupanga.hongera.usiiachie hiyo nafasi, itumie.

Hayo uliyomwambia mwenzio yote anayajua. Hukumuelewa anataka nini? Ungesoma vzr ili unshauri vizuri. Mi nakushaur mtoa posti kama huna familia na ndiounaanza maisha nenda kapambane ukitafuta dili la kuingia UN moja kwa moja.lkn kama unayo na inakutegemea 100% mzee hapo utawaua kwa pressure.
 
Hayo uliyomwambia mwenzio yote anayajua. Hukumuelewa anataka nini? Ungesoma vzr ili unshauri vizuri. Mi nakushaur mtoa posti kama huna familia na ndiounaanza maisha nenda kapambane ukitafuta dili la kuingia UN moja kwa moja.lkn kama unayo na inakutegemea 100% mzee hapo utawaua kwa pressure.

niko kwenye humanitarian industry toka mwaka 1995 kama national staff na sasa kwa miaka 3 kama expat na nimefanya kazi south sudan na Iraq na leo niko DRC ..so familia yangu imeshazoea kabisa mambo haya...
 
niko kwenye humanitarian industry toka mwaka 1995 kama national staff na sasa kwa miaka 3 kama expat na nimefanya kazi south sudan na Iraq na leo niko DRC ..so familia yangu imeshazoea kabisa mambo haya...

kama ndio hivyo basi huko unakofanya kazi nafikiri ndio sehemu sahihi kuwapata watu wa kukupa ushauri sahihi
 
United Nations Volunteers (UNV)
ni kujitolea, hayo maslahi uayoyahitaji hayaendani kabisa na kupenda kujitolea.
 
United Nations Volunteers (UNV)
ni kujitolea, hayo maslahi uayoyahitaji hayaendani kabisa na kupenda kujitolea.


miaka kama miwili iliyopita jamaa yangu alikua analipwa zaid ya usd 2000 kwa mwezi kwa kazi hiyo ya UNV. So kujitolea kama UNV ni tofauti na kujitolea kufanya kazi benki ya posta Tanzania. uwe unafuatilia mambo kabla ya kutoa ushauri fyongo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom