Mwamatandala
Member
- Jul 17, 2009
- 44
- 3
jioni ya leo nimetumiwa ujumbe mfupi na afisa wa jeshi la polisi makao makuu kunijulisha kwamba natakiwa kuhudhuria vipimo vya afya ktk hospitali ya polisi kilwa road dar es salaam.
I wanted just to share with you this matter gt's.