nimeitwa kwa ajili ya kupima afya kwa wale tuliofanya usaili polisi kitengo cha teknohama.

Mwamatandala

Member
Jul 17, 2009
44
3
jioni ya leo nimetumiwa ujumbe mfupi na afisa wa jeshi la polisi makao makuu kunijulisha kwamba natakiwa kuhudhuria vipimo vya afya ktk hospitali ya polisi kilwa road dar es salaam.
 
Vp tena unaogopa au unatujulisha umepata wito?
wewe nenda wacha woga au ujuiamini nini?
 
tatizo ppolisi huwa wanazungushana mno, yaani ma wipi (wp-women police) akiliwa na mmoja basi kituo kizima lazima wampitie, mmoja wapo akiwa na ngoma basi woote wanakuwa na ngoma. ndo maana kati ya watu walioathirika ni polisi.
 
Back
Top Bottom