Wadau hebu angalieni vizuri naona kama vile vasco da gama hajavaa socks?
Huyo mzee ni kigeu geu sana. Anaonekana ni mtu asiye na msimamo na mtu asiyeweza kusimamia anachokiamini.
Suala hili halihusu siasa kwenye siasa tuongee siasa,huyo mzee hayupo kama katibu mkuu wa chama cha siasa hapo yupo kama mwenyekiti wa bodi ya CCBRT.
Dr Slaa keshalainishwa. Hakuna mpinzani hapo
Upinzania sio kupinga kila kitu hata kama kina manufaa ushaambiwa kwenye siasa hakuna adui wa kudumu, kama ni hivyo mbona watu ujiunga na chama kikiwachosha uama tena na tena.
Kumbuka Dr. Slaa pale CCBRT ni mtu mkubwa sana , tuangalie maendeleo tusiangalie visa na matukio mabaya tu, si kwamba JK ni mbaya sana hata uenda watendaji wake wanamuangusha kwa kumuandikia ahadi nyingi kwenye kitabu bila kuzitekeleza.