BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,035
- 3,948
...Aliporudi kutoka kwenye matibabu SAfrika walimpa jina la 'Mpiganaji' na kila mtu/taasisi mwenye jina mjini alijibainisha naye na kutoa ahadi kem kem. Miaka mitatu tu baadae wameishamsahau na kumuona sio Habari tena hadi yeye mawenyewe ameamua kuwa Habari ili kupata msaada. Pole Ndugu yetu Athumani Hamisi. Ndio binadamu walivyo. Mungu atakupitisha katika wakati huu mgumu unaopita. Nashauri pia uusome kwa makini Ujumbe muhimu wa muungwana Mtambuzi na ujaribu kuufanyia kazi. Utakusaidia. Pole Sana ndugu Yetu. Yote yatoka kwa Mungu.