ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,044
- 6,297
Hii ishu ya watoto kujihusisha a ushoga inahusiana kivipi na mada ya mke wa jamaa kujichua?Na Kwa mujibu WA hayo maandiko utapandia chumbani itaotea azarani ,embu fikiria unazaa mtoto wako wakiume anakuwa shoga au anabadili jinsia anaolewa peupe ndugu NI aibu ,nadhani unaona Elon musk akifukuza mtoto wake nyumbani kisa kabadili jinsia yeye anadhani tatizo NI mtoto kumbe ni yeye Ile ni hybrid ya yeye na mke wake ,