Wadau ilishaletwa thread hapa kuhusiana na hizi status na profile picha za watsap, mkewangu ni muathirika wa hili, status zake za ovyo yan kana kwamba hajaenda shule,
Profile picha zake ndo usiseme ni balaa, yan tukikwazana kidogo tu ananimaliza kwenye status za ajabu jaman, mara utaona "umalaya utakuua", mara "ukianzisha nalianzisha" mpaka nachoka jaman, sasa mi nimeamua kufuta tu namba yake na wala si save tena yeye pamoja na watu wengine wenye tabia kama hzo ilimradi nusione tu upuuzi wao kudadadeki zao.
Madogo yana nafuu!!Mmhh! Makubwa.
Ha ha ha ha ha watu8.. Hii kali.. Ila mie shaka yangu ni moja.. Inaonekana huyu bwana hana ubavu kwa mkewe.. Na inawezekana mkewe amejinunulia mwenyewe hiyo simu.. Sasa achague nusu shari avumilie au shari kamili amnyang'anye nyumbani kusikalike lol..
Kuuliza si ujinga huenda mimi nimepitwa na wakati, kwani zile status za wasapu nazo ni za watu kucomment? Maana mimi nachukulia tu tag ya wisdom words au mtu ajuwe mimi ni mtu ninaeamini nini.
Thats why status yangu wasapu ni moja tu na sijawahi kubadiri pia magroup kwenye wasappu sitaki pia sipendi kuwa mtumwa wa simu yangu mwenyewe.
Nimemnunulia mwenyewe kwa pesa yangu li s4 enzi hzo 12000000 ila sasa ndo linaniazibu aisee
Inawezekana kweli mdau coz namba zote anazozishuku kwenye cm yangu huwa anachukua na kuzisave na na nakala zingine kwenye diary yake nimebadirisha password kwenye cm mpaka google wakanionya kuwa wana wasiwasi na mimi aisee
Hapana cyo cky zote mdau mara mojamoja walau cyo mbaya coz usipofanya hvo u gona loose confidance ya kutongoza aisee