Kwanza kabisa naipongeza serikali kwa kuwaadabisha hawa Mtanzania.
Gazeti hili kwa muda lilikuwa limeshuka mno viwango kiasi cha kuwa kama gazeti la udaku tu. Ikumbukwe kuwa ni gazeti hili lililoendesha witch hunt kiasi cha kuwaunganisha wahariri ansbert ngurumo na deo balile kwenye tukio la kujeruhiwa kibanda. huu ulikuwa upuuzi wa hali ya juu.
Wao Mtanzania hawakujali kuwaumiza watu wadogo. Wameendelea kumwandama yule dogo aliyesalitiwa na chadema na kumuonyesha kuwa ndo adui wa nchi hii!! Mtoto yule maskini alilalamikia gazeti hili bila msaada kwani kutwa kuchwa aliandikwa vitu vya uongo na gazeti hili. Nakumbuka mara ya mwisho alilalamika kuwa mtanzania wanamuonea na akamwachia mungu kuwa iko siku wataandika habari za wakubwa na ndipo watakapoona, sala yake imetimia nasi tunafurahi na huyu dogo.
Habari walizoandika zinahatarisha usalama wa nchi na kwa hilo wanastahili adhabu waliyopewa. Mhariri wa gazeti hili ajue kuwa kutaka kumtundika msalabani kijana mdogo akiacha kutaja watesi wake halisi ambao amejinasibu kuwajua na kuwa ni watu wakubwa haitamsaidia kwani naye anamuuwa mtu asiye na hatia.
Poleni Mwananchi kwani nyie hakika mmeonewa. Nasubiri Tanzania Daima na hii MwanaHalisi iliyofufuka kwa jina la Mawio.
Gazeti hili kwa muda lilikuwa limeshuka mno viwango kiasi cha kuwa kama gazeti la udaku tu. Ikumbukwe kuwa ni gazeti hili lililoendesha witch hunt kiasi cha kuwaunganisha wahariri ansbert ngurumo na deo balile kwenye tukio la kujeruhiwa kibanda. huu ulikuwa upuuzi wa hali ya juu.
Wao Mtanzania hawakujali kuwaumiza watu wadogo. Wameendelea kumwandama yule dogo aliyesalitiwa na chadema na kumuonyesha kuwa ndo adui wa nchi hii!! Mtoto yule maskini alilalamikia gazeti hili bila msaada kwani kutwa kuchwa aliandikwa vitu vya uongo na gazeti hili. Nakumbuka mara ya mwisho alilalamika kuwa mtanzania wanamuonea na akamwachia mungu kuwa iko siku wataandika habari za wakubwa na ndipo watakapoona, sala yake imetimia nasi tunafurahi na huyu dogo.
Habari walizoandika zinahatarisha usalama wa nchi na kwa hilo wanastahili adhabu waliyopewa. Mhariri wa gazeti hili ajue kuwa kutaka kumtundika msalabani kijana mdogo akiacha kutaja watesi wake halisi ambao amejinasibu kuwajua na kuwa ni watu wakubwa haitamsaidia kwani naye anamuuwa mtu asiye na hatia.
Poleni Mwananchi kwani nyie hakika mmeonewa. Nasubiri Tanzania Daima na hii MwanaHalisi iliyofufuka kwa jina la Mawio.