Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
bado CUF ndio chama kikuu cha upinzani Tanzania? dont laugh at me guys
Mkuu pole sana kwa yaliyokusibu.....ujue CUF sasa hivi inaitwa CCM B, sio tena chama cha upinzani asilani, washaunganika na CCM huko zenji, Prof Lipumba sasa hivi kawa kama chizi hivi, Chama kikuu cha upinzani sasa hivi ni CHADEMA,wanaharakati wengi wapo huku, unakaribishwa huku kwa kutenda mema zaidi kaatika inji hii.........nimefurahi tulijiunga mwezi mmoja na wewe. Welcome back brooooo!!