nimefurahi kukuta jamboforums na sasa jamiiforums ikiwa haijafa

mmmh pole sana mkuu na karibu tena ulifungwa?wat happend?duh pole sana lkn usijali ndo maisha yalivyo ndugu na wengi walofungwa[but kwa maslai ya taifa ]ni ma big time heros,hope u wanna be one of them kuja kutukomboa na ufisadi n ol zat[kidding]pole sana,welocamu backi.
 
mmmh pole sana mkuu na karibu tena ulifungwa?wat happend?duh pole sana lkn usijali ndo maisha yalivyo ndugu na wengi walofungwa[but kwa maslai ya taifa ]ni ma big time heros,hope u wanna be one of them kuja kutukomboa na ufisadi n ol zat[kidding]pole sana,welocamu backi.
thanks,offcourse i was in jail since 2007 dec,sababu nitawaambia badae. coz mpaka sasa ivi sijasettle
 
Pole sana mkuu, yote maisha mwanadamu kaumbiwa mitihani mingi kama umetoka jela salama nikushukuru mungu..Karibu sana
 
Kwanza naomba kukupa pole mkuu na hongera kwa kuwa miongoni mwa waasisi wa JF ambao sisi tuliojiunga karibuni tunakubali mchango wao hadi hapa tulipofika

Karibu sana tuendelee na juhudi za kuijenga jamii yetu kwa kupitia njia hii mpya ya kutawala kwa kupaza sauti zetu kupitia social media...

Karibu sana
 
pole sana karibu tena humu sie bado tupo na mie nimo tangu enzi za jamboforum

Usiwe na wasi kuhusu kufungwa I hope ulitumia muda wako kujiendeleza huko as huwa kuna chances nyingi hata za kujisomea etc

Kama hujaenda TZ miaka mingi utaona mabadiliko mengi tu, ila usikurupuke as wapo watu wakila aina esp Dar kila mtu akili mbele kutafuta pesa kiana yoyote
 
Kwanza naomba kukupa pole mkuu na hongera kwa kuwa miongoni mwa waasisi wa JF ambao sisi tuliojiunga karibuni tunakubali mchango wao hadi hapa tulipofika

Karibu sana tuendelee na juhudi za kuijenga jamii yetu kwa kupitia njia hii mpya ya kutawala kwa kupaza sauti zetu kupitia social media...

Karibu sana
tuko pamoja
 
avatar6317_1.gif


Mkuu avatar yako imenifanya nifunge safari kwenda kununua ashkrimu koni!!

tuko pamoja
 
pole sana karibu tena humu sie bado tupo na mie nimo tangu enzi za jamboforum

Usiwe na wasi kuhusu kufungwa I hope ulitumia muda wako kujiendeleza huko as huwa kuna chances nyingi hata za kujisomea etc

Kama hujaenda TZ miaka mingi utaona mabadiliko mengi tu, ila usikurupuke as wapo watu wakila aina esp Dar kila mtu akili mbele kutafuta pesa kiana yoyote

nilikuwa nafanya kazi huko huko coz mimi ni mtaalamu wa mambo ya oil and gas, jela ilikuwa sio tabu kama watu wanavyofikiria sema uhuru tu wa kuwa as a human being ndio haukuwepo.
 
JF ni zaidi ya uijuavyo. haya drama inaendelea.


user-online.png
Kitanga

Today 12:48 PM
#8
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 4th October 2007

Posts : 3
Thanks 1 Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0
 
wakuu mimi sio mgeni hapa nilikuwa natembelea sana jambo forum toka 2006.ila yaliyonisibu ni makubwa na ni bora nisiyaelezee hap but kifupi ni kuwa nilikua jela na nilikuwa nimefungwa toka mwaka 2007,nchi za watu na sasa nimeshatoka kutokana na msaada mkubwa wa kampuni ya BP coz i was working in this company in us, and within 3 days i wanna land in ma homeland Tz baada ya kukamilisha malipo yngu na fidia
nawakumbuka sana watu kama mwanakijiji, nyani ngabu,field marshal, game theory, maxmelo,interested obsever,mkira,spiderman,jizalendo timbwilitimbwili,radio butiama etc...

Mkuu,

Hao wenye nyekundu wapo sana, na naamini utawaona si muda mrefu.
Hao kwenye Green wamedhoofu kimahudhurio hapa, hatujui ni kwanini.
Lakini hao kwenye blue ni kama vile hawafahamiki kabisa hapa...Labda muliondoka pamoja enzi hizo!

Lakini nikufahamishe kuwa baadhi ya watu mulioanza nao hutowaona kabisa maana walishasogelea Daawat la hukumu!

Pia mkuu karibu sana, na pole kwa maswahibu yalokupata!
 
JF ni zaidi ya uijuavyo. haya drama inaendelea.


user-online.png
Kitanga

Today 12:48 PM
#8
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 4th October 2007

Posts : 3
Thanks 1 Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0

kuna kitu hakipo sawa nini mkuu? nilijiunga long tym na nilikuwa naisoma sana JF sema sikuwahi kuanza kutoa michango.
 
wakuu mimi sio mgeni hapa nilikuwa natembelea sana jambo forum toka 2006.ila yaliyonisibu ni makubwa na ni bora nisiyaelezee hap but kifupi ni kuwa nilikua jela na nilikuwa nimefungwa toka mwaka 2007,nchi za watu na sasa nimeshatoka kutokana na msaada mkubwa wa kampuni ya BP coz i was working in this company in us, and within 3 days i wanna land in ma homeland Tz baada ya kukamilisha malipo yngu na fidia
nawakumbuka sana watu kama mwanakijiji, nyani ngabu,field marshal, game theory, maxmelo,interested obsever,mkira,spiderman,jizalendo timbwilitimbwili,radio butiama etc...

Pole sana na yaliyokusibu huko Kitanga,pia tunakukaribisha tena tuendeleze gurudumu humu JF.
 
Mkuu,

Hao wenye nyekundu wapo sana, na naamini utawaona si muda mrefu.
Hao kwenye Green wamedhoofu kimahudhurio hapa, hatujui ni kwanini.
Lakini hao kwenye blue ni kama vile hawafahamiki kabisa hapa...Labda muliondoka pamoja enzi hizo!

Lakini nikufahamishe kuwa baadhi ya watu mulioanza nao hutowaona kabisa maana walishasogelea Daawat la hukumu!

Pia mkuu karibu sana, na pole kwa maswahibu yalokupata!
aksante mkuu kwa info, kuna jamaa mwingine alikuwa anaitwa kibunango,but usihofu badae nitaanza kupitia post
 
wakuu mimi sio mgeni hapa nilikuwa natembelea sana jambo forum toka 2006.ila yaliyonisibu ni makubwa na ni bora nisiyaelezee hap but kifupi ni kuwa nilikua jela na nilikuwa nimefungwa toka mwaka 2007,nchi za watu na sasa nimeshatoka kutokana na msaada mkubwa wa kampuni ya BP coz i was working in this company in us, and within 3 days i wanna land in ma homeland Tz baada ya kukamilisha malipo yngu na fidia
nawakumbuka sana watu kama mwanakijiji, nyani ngabu,field marshal, game theory, maxmelo,interested obsever,mkira,spiderman,jizalendo timbwilitimbwili,radio butiama etc...

Karibu sana Kitanga na pole kwa yaliyokusibu! Yote maisha na maisha lazima yaendelee...

Hawa wakuu bado wapo wapo na muda siyo mrefu utawaona hapa JF
 
JF ni zaidi ya uijuavyo. haya drama inaendelea.


user-online.png
Kitanga

Today 12:48 PM
#8
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 4th October 2007

Posts : 3
Thanks 1 Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0


ehh wewe jaman vp?
kila kitu unapnga tu?
sasa ndo kusema aumwamin km kajiunga long au ni vp?
sio kila kitu ni cha magumash
ukisoma kwa macho mawili utasense kabsa uyu bwana ni mkweli na wala si adith
 
Back
Top Bottom