John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
not verified
thanks,offcourse i was in jail since 2007 dec,sababu nitawaambia badae. coz mpaka sasa ivi sijasettlemmmh pole sana mkuu na karibu tena ulifungwa?wat happend?duh pole sana lkn usijali ndo maisha yalivyo ndugu na wengi walofungwa[but kwa maslai ya taifa ]ni ma big time heros,hope u wanna be one of them kuja kutukomboa na ufisadi n ol zat[kidding]pole sana,welocamu backi.
tuko pamojaKwanza naomba kukupa pole mkuu na hongera kwa kuwa miongoni mwa waasisi wa JF ambao sisi tuliojiunga karibuni tunakubali mchango wao hadi hapa tulipofika
Karibu sana tuendelee na juhudi za kuijenga jamii yetu kwa kupitia njia hii mpya ya kutawala kwa kupaza sauti zetu kupitia social media...
Karibu sana
tuko pamoja
pole sana karibu tena humu sie bado tupo na mie nimo tangu enzi za jamboforum
Usiwe na wasi kuhusu kufungwa I hope ulitumia muda wako kujiendeleza huko as huwa kuna chances nyingi hata za kujisomea etc
Kama hujaenda TZ miaka mingi utaona mabadiliko mengi tu, ila usikurupuke as wapo watu wakila aina esp Dar kila mtu akili mbele kutafuta pesa kiana yoyote
Mkuu avatar yako imenifanya nifunge safari kwenda kununua ashkrimu koni!!
wakuu mimi sio mgeni hapa nilikuwa natembelea sana jambo forum toka 2006.ila yaliyonisibu ni makubwa na ni bora nisiyaelezee hap but kifupi ni kuwa nilikua jela na nilikuwa nimefungwa toka mwaka 2007,nchi za watu na sasa nimeshatoka kutokana na msaada mkubwa wa kampuni ya BP coz i was working in this company in us, and within 3 days i wanna land in ma homeland Tz baada ya kukamilisha malipo yngu na fidia
nawakumbuka sana watu kama mwanakijiji, nyani ngabu,field marshal, game theory, maxmelo,interested obsever,mkira,spiderman,jizalendo timbwilitimbwili,radio butiama etc...
JF ni zaidi ya uijuavyo. haya drama inaendelea.
Kitanga
Today 12:48 PM
#8
Junior Member
Join Date : 4th October 2007
Posts : 3
Thanks 1 Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0
wakuu mimi sio mgeni hapa nilikuwa natembelea sana jambo forum toka 2006.ila yaliyonisibu ni makubwa na ni bora nisiyaelezee hap but kifupi ni kuwa nilikua jela na nilikuwa nimefungwa toka mwaka 2007,nchi za watu na sasa nimeshatoka kutokana na msaada mkubwa wa kampuni ya BP coz i was working in this company in us, and within 3 days i wanna land in ma homeland Tz baada ya kukamilisha malipo yngu na fidia
nawakumbuka sana watu kama mwanakijiji, nyani ngabu,field marshal, game theory, maxmelo,interested obsever,mkira,spiderman,jizalendo timbwilitimbwili,radio butiama etc...
aksante mkuu kwa info, kuna jamaa mwingine alikuwa anaitwa kibunango,but usihofu badae nitaanza kupitia postMkuu,
Hao wenye nyekundu wapo sana, na naamini utawaona si muda mrefu.
Hao kwenye Green wamedhoofu kimahudhurio hapa, hatujui ni kwanini.
Lakini hao kwenye blue ni kama vile hawafahamiki kabisa hapa...Labda muliondoka pamoja enzi hizo!
Lakini nikufahamishe kuwa baadhi ya watu mulioanza nao hutowaona kabisa maana walishasogelea Daawat la hukumu!
Pia mkuu karibu sana, na pole kwa maswahibu yalokupata!
wakuu mimi sio mgeni hapa nilikuwa natembelea sana jambo forum toka 2006.ila yaliyonisibu ni makubwa na ni bora nisiyaelezee hap but kifupi ni kuwa nilikua jela na nilikuwa nimefungwa toka mwaka 2007,nchi za watu na sasa nimeshatoka kutokana na msaada mkubwa wa kampuni ya BP coz i was working in this company in us, and within 3 days i wanna land in ma homeland Tz baada ya kukamilisha malipo yngu na fidia
nawakumbuka sana watu kama mwanakijiji, nyani ngabu,field marshal, game theory, maxmelo,interested obsever,mkira,spiderman,jizalendo timbwilitimbwili,radio butiama etc...
JF ni zaidi ya uijuavyo. haya drama inaendelea.
Kitanga
Today 12:48 PM
#8
Junior Member
Join Date : 4th October 2007
Posts : 3
Thanks 1 Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0