Pole sana mzee, fanya maamuzi ya kuoa fasta, pia jitaidi kuwa na discipline ya mwili wako, Roho inaokoka lakini mwili unaitaji kushurutishwa vinginevyo unaeza kurudia hako kamchezo.
eti kuna watu hua wana wake zao lakini anaweza muacha chumbani kalala akaenda bafuni kupiga punyeto? Nikweli?
Ahh Kumbe Punyeto ni mapepo ehee
MI HAYA MAMBO MENGINE YA WACHUNGAJI NAONA KA MAUZA UZA TU...SASA YE ALIJUAJE KA KUNA MTU ANAPEPO LA PUNYETO....HALAFU AKANYOOSHA MKONO WE UKAANGUSHWA NA NGUVU USIYOIJUA MMH!:confused2:
usanii huo!
ili kuweka hansards zetu vyema....
Humphnicky
Member
Join DateWed Dec 2010PostsThanked 13 Times in 1 Post Rep Power0
ili kuweka hansards zetu vyema....
humphnicky
member
join datewed dec 2010poststhanked 13 times in 1 post rep power0
mh mbunge wa jf muwakilishi wa infidels
ina maana hujamjua ni nani huyu? Kila siku huweka habari za masturbation na punyetos? Nadhani mh teamo huyu aka humphnick got a masturbated mind.
mh mbunge wa jf muwakilishi wa infidels
ina maana hujamjua ni nani huyu? Kila siku huweka habari za masturbation na punyetos? Nadhani mh teamo huyu aka humphnick got a masturbated mind.
This is my very first post. Kwa hiyo ukisema i got amusturbated mind unakuwa hunitendei haki kwani sijawahi kupost chochote kabla, pili kwa sasa mi si mtumwa tena wa punyeto.
duuuhhh pole sana muheshimiwa...
MI HAYA MAMBO MENGINE YA WACHUNGAJI NAONA KA MAUZA UZA TU...SASA YE ALIJUAJE KA KUNA MTU ANAPEPO LA PUNYETO....HALAFU AKANYOOSHA MKONO WE UKAANGUSHWA NA NGUVU USIYOIJUA MMH!:confused2:
god is god of the impossibilities; yale ambayo mwanadamu hayawezi kwake yawezekana, na wao wanaoweza kushuhudia hayo, wako katika ulimwengu wa roho. Of course huwezi kuona sense of something of which you are not part of it....miracles do happen, they are real because god is powerful and real. Yeye anasema niiteni nami nitaitika, nitawaonyesha mambo magumu na makuu usiyoyajua.