Nimefanya mapenzi na msichana mwenye UKIMWI

Wakuu,

Katika pitapita yangu jana baada ya kupiga safari lager za kutosha si nikakutana na mrembo, maskini ya Mungu bila kujua kitu mwanaume nikakokota hadi geto nikajilia vyangu.

Maajabu leo katika kukagua kibegi chake nimekutana na ARV yaani hapa nimechanganyikiwa nimeamua tu nishinde bar kupoteza mawazo.

Embu nishaurini wakuu nimfanyaje huyu bidada manake japo nilitumia kinga sina furaha kabisa.

Baada ya wiki moja, kapime
 
usiogope ukimwi hauambukizwi toka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine
 
Wakuu,

Katika pitapita yangu jana baada ya kupiga safari lager za kutosha si nikakutana na mrembo, maskini ya Mungu bila kujua kitu mwanaume nikakokota hadi geto nikajilia vyangu.

Maajabu leo katika kukagua kibegi chake nimekutana na ARV yaani hapa nimechanganyikiwa nimeamua tu nishinde bar kupoteza mawazo.

Embu nishaurini wakuu nimfanyaje huyu bidada manake japo nilitumia kinga sina furaha kabisa.

Utajiua bure ukimwi haujapata na endelea kumgonga kama kawaida ila kinga tumia. Kwa akili yako toka umeanza umalaya wako unadhani hujalala na wenye ukimwi? Huyo umebahatika kumgundua wapo wengi sana uliowagonga na wana ngoma kama unamuogopa nipe namba yake ya simu nijilie mzigo kwa kutumia mtambo maalumu wa kuzuia ukimwi NAKUSHAURI USIMPIGE WALA USIGOMBANE NAYE NI HALI YA KAWAIDA TU UKIFANYA UTANI NA WEWE UTAANZA KUZITUMIA ARV LAKINI UKIZINGATIA MASHARTI NA VIGEZO UKIMWI UTAUSOMA MAGAZETINI TU.
 
Haya mambo ya kuleta mada feki yanapunguza hadhi ya JF. Bahati mbaya wengine hatujui kufanya mizaha mizaha.
Yaah! Kama ingekuwa kweli asinge andika hivyo ancheza na akili za watu tuu..
 
No offense meant;bila kuathiri kiwango chako cha elimu

''Nimefanya mapenzi na msichana mwenye UKIMWI'' ilitakiwa kuwa '' Nimefanya UZINZI na mwanamke mwenye maambukizo ya virusi vya UKIMWI''
''nimeamua tu nishinde bar kupoteza mawazo.''
Unashinda bar? Huna kazi/shughuli ya kufanya?
 
1.Mtu aliye na ARVs sio lazima ziwe zake au anazitumia labda kama umethibitisha hivyo kwa kupata na kadi yake ya CTC 1.
2.Prostitutes wengi mjini wanatumia ARVs huku wakiwa hawana HIV.....hutumia kama Pre exposure prophylaxis(PrEP) yaani kujikinga na maambukizi kutoka kwa wateja wao..zinapatikana ktk black market
3.Kama ni kweli yeye ni muathirika wa HIV na anatumia hizo dawa vizuri basi huna sababu ya kuchanganyikiwa....
Reason and facts;
-Possibility ya kupata HIV kwa tendo moja ni 0.03%.
-Possibility hii imesimama kwenye ground ya Viral Load(wingi wa virus ktk damu)
Kwa mgonjwa aliyetumia dawa vizuri bila kuchakachua anategemewa kuwa na Undectable level of virus....hii inamaanisha ukipima viral load unakuta 0 ingawa mgonjwa ana HIV.....
Sasa mgonjwa mwenye undetectable level of virus au hata mwenye viral load ndogo uwezo wake wa kuambukiza unapungua sana na hivyo unaweza ukafanya "ngono peku"
na usipate maambukizi....
Ushauri.....
Usipanick....ukipima leo HIV ukaikuta basi sio ya huyo dada..ulikua nayo,
Kama ukipima ukakuta Negative basi nenda kwa daktari na utapewa ARVs dozi ya siku 28 Post Exposure Prophylaxis na utasalimika....dawa hii huwa effective kama dozi ya kwanza itatumika ndani ya masaa 72 post event....Sasa amua haraka na ukimbie hospital ukafanye mchakato huu....
Asante na pole sana jembe.!
mkuu nimependa ushauri wako yani asipoelewa hapa basi hatoelewa sehemu nyingine coz umetumia lugha nyepesi n umeeleza almost kila kitu.
 
Bora ya wewe uliyemuelimisha inaelekea ana la kufanya keshaona hatma yake ni nn
alionja asali basi kashachonga mzinga akubaiiliane na hiyo hali
no offense meant;bila kuathiri kiwango chako cha elimu

''nimefanya mapenzi na msichana mwenye ukimwi'' ilitakiwa kuwa '' nimefanya uzinzi na mwanamke mwenye maambukizo ya virusi vya ukimwi''
''nimeamua tu nishinde bar kupoteza mawazo.''
unashinda bar? Huna kazi/shughuli ya kufanya?
 
Ulikuwa hujui kuwa umaarufu unatafutwa kote kote hadi hadi ndani ya bunge la magufuli

Kila mtu anajua nini anachokitafuta katika mtandao huu. Kama mtu amekuja JF ili kutafuta umaarufu basi ni juu yake ila mimi siko hapa kutafuta umaarufu. Niko hapa kwa ajili ya kujifunza kutoa ushauri, maoni, mchango, mawazo na elimu yangu pale yanapohitajika.
 
1.Mtu aliye na ARVs sio lazima ziwe zake au anazitumia labda kama umethibitisha hivyo kwa kupata na kadi yake ya CTC 1.
2.Prostitutes wengi mjini wanatumia ARVs huku wakiwa hawana HIV.....hutumia kama Pre exposure prophylaxis(PrEP) yaani kujikinga na maambukizi kutoka kwa wateja wao..zinapatikana ktk black market
3.Kama ni kweli yeye ni muathirika wa HIV na anatumia hizo dawa vizuri basi huna sababu ya kuchanganyikiwa....
Reason and facts;
-Possibility ya kupata HIV kwa tendo moja ni 0.03%.
-Possibility hii imesimama kwenye ground ya Viral Load(wingi wa virus ktk damu)
Kwa mgonjwa aliyetumia dawa vizuri bila kuchakachua anategemewa kuwa na Undectable level of virus....hii inamaanisha ukipima viral load unakuta 0 ingawa mgonjwa ana HIV.....
Sasa mgonjwa mwenye undetectable level of virus au hata mwenye viral load ndogo uwezo wake wa kuambukiza unapungua sana na hivyo unaweza ukafanya "ngono peku"
na usipate maambukizi....
Ushauri.....
Usipanick....ukipima leo HIV ukaikuta basi sio ya huyo dada..ulikua nayo,
Kama ukipima ukakuta Negative basi nenda kwa daktari na utapewa ARVs dozi ya siku 28 Post Exposure Prophylaxis na utasalimika....dawa hii huwa effective kama dozi ya kwanza itatumika ndani ya masaa 72 post event....Sasa amua haraka na ukimbie hospital ukafanye mchakato huu....
Asante na pole sana jembe.!

Huyu mjamaa yuko vizur aiseeee
 
Back
Top Bottom