Nimechukua mkopo benki, naomba ushauri katika namna niliyopanga kuutumia

Unaomba ushauri kula moto?
Riba haiachi mtu salama,itakuja kukutokea puani
Nakushauri urudishe hizo pesa za haramu kwa hao ulipozichukulia‍♂️
 
Ni kweli mkuu.
Utakuta hapo mshahara wake laki 6 take home.
Akikatwa mkopo wa benki ibaki laki 3.5.
Halaf hyo hyo alishe familia na nyingine anunue mafuta ya gari.
Wakati huo hapo gari ni mpya then baada ya mwaka gari ikianza kuchoka ataanza kununua spea.
Hivi ndio umaskini hukaribishwa kwenye familia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni wivu, sasa mnataka anunue gari kwa cash anaweza. Huyo mshahara wake ni zaidi ya 2mln labda ana maposho pia.huwezi kuwa na salary ya laki sita ukaweza kukopa hata 15mln.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akiri za kuwaza kununua gari aina ya IST au Alex kwa pesa ya mkopo sio akiri za maendeleo wewe utakua mtumishi tu, hujazoea hela mshahara wako ndo umekua dhamana ya mkopo kwa miaka kama mitano hapo naona kama umekaribisha umasikini rasmi katika familia......

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi jua labda kawakeza tayari

muhogo,nazi,karanga tende,asali
 
wewe ni kichaa kwakua unasema unavitega uchumi yan upo vizuri, na bado mwsho wa mwez mshahara, sasa umekopa ili iweje? then unasema upewe ushaur ununue gar gani itakayobaki ule bata, wekeza kijana ni ushauri tu
Wew ndio kichaa usiye elewa mimi nimeomb ushaur alaf sio lazma kila post humu ukiiona utoe coment.. mazafaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana mdogo,..mil30 ni hela ndoogo sana ukiishika amini nakwambia,na sikushaur ufanyie biashara hyo hela sabab kwa ulivyo ulivyo tuu nmeona hutoweza,tuanzie hapo kwanza,so hako ka 30 kama ulivosema unataka gar na kumalizia nyumba na hela ya bata,..naona umejitoa muhanga,first of all ushafel so ngoja nikushaur kutoka kwenye hyo failure,..

Subir had december kuna yard nying tu hua wana ofa,mfano pale namanga ile yard ya wa pakistan,acha mbwebwe za IST ziko juu sana mpya,na usinunue gar mkonon,utakuja juta,..nenda pale yard tafta ractis or fun cargo or gar yoyote utakayokuta ,hua ofa znafika had 7.5m..kwa sis wateja wa kudum hua tunapigiwa sim kabsa,kuna gar hii na hii zna ofa..usinunue zaid gar zaid ya m9..then hela inayobak malizia tuu nyumba hyo,namaanisha hela yoteee,usiweke hela ya bata sabab bata hyo na wenge la hela,utapata majanga,ajali,kuibiwa,etc utarud nyuma utatumia hela zilizobak kujiuguza,so hela yote malizia ujenz,tenga 15mil,tafta fund ,tumia budget ndogo uwezavyo,..vifaa vyote nenda dukan usitume mtu..mil6 iliyobak weka bank ipige fixed,huku ukitafta kamrad kakukuingiza sh mbil tatu

Comment tayar

Nmeshaur kutokana na experience

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana ..wew kwel great thinker sio wengine humu majibu yao ya kunya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nyakandula hongera kwa chaguzi ulizonazo,kamata IST(kama ulivyosema kusave cost ya mafuta) and the rest money endelea na mchakato wa kumalizia mjengo_
Tatizo watu hupenda kuingilia chaguzi za watu,kila mtu anachoice zake*(afanye nn kwa wakati gani)_mara 30M pesa ndogo,wekeza kwanza iyo pesa,fungua kiwanda(we unaelewaje kama mtu hana hivyo vitu,kama hajawekeza...)_
Watu wa aina hii ndo wale wanaotafuta pesa za mitaji hawapati,mawazo wanayo kibao ya kuanzisha miradi_mwisho wa siku wanakuja kuleta mawazo yao kwa kutojua mtu umejipangaje mpaka kufikia maamuzi hayo ulochukua_

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana umeongea kwel kbsa..shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom