nyakandula
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 1,201
- 1,597
Habari zenu
Nimekopa shilingi milion 30 bank CRDB. Nahitaji kununua gari mojawapo katika hizi IST, ALEX, RACTIS, CARINA na pesa itayobaki nikamalizie mjengo wangu chanika (15MIL) na ibaki pesa kidogo ya kula bata. Je, mpango wangu unafaa?
Naomba ushauri wadau
NB: Nimechagua hizo gari kwa ajili ya matumizi madogo ya "wese"
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekopa shilingi milion 30 bank CRDB. Nahitaji kununua gari mojawapo katika hizi IST, ALEX, RACTIS, CARINA na pesa itayobaki nikamalizie mjengo wangu chanika (15MIL) na ibaki pesa kidogo ya kula bata. Je, mpango wangu unafaa?
Naomba ushauri wadau
NB: Nimechagua hizo gari kwa ajili ya matumizi madogo ya "wese"
Sent using Jamii Forums mobile app