ujumbe wenyewe mbona wa salamu tu, ilikuwa hv: "vp mpenzi wangu siku hz umenisusa" na aliyeu2ma ni classment mwenzangu 2liyemaliza naye O'level.
uwe unaakili za kujiongeza,some tymes wapenzi huchokana ,inavyoonyesha ww umechokwa! sepa fasta!!
Kama mtu hataki, unataka tukushaur nini? Mwache agongwe na wengine maana wewe umechakachua mwenyewe!
Mama wa kwanza kwani hujaiona hii?Nadhani msg ilikuwa ya kuumiza Feis kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukuacha kwa style hii
ujumbe wenyewe mbona wa salamu tu, ilikuwa hv: "vp mpenzi wangu siku hz umenisusa" na aliyeu2ma ni classment mwenzangu 2liyemaliza naye O'level.
@first lady angalia kwa juu msg yenyewe utachoka! uyo dada kapata tu sababu!Nadhani msg ilikuwa ya kuumiza Feis kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukuacha kwa style hii
Nadhani msg ilikuwa ya kuumiza Feis kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukuacha kwa style hii
huyo alikuwa anatafuta sababu ya kutoka kwenye mahusiano.kubali hali hiyo.ipo siku utapata atakayekupenda na kukuvumilia zinapotokea shida ndogo ndogo kama hizi.pole!
huyo alikuwa anatafuta sababu ya kutoka kwenye mahusiano.kubali hali hiyo.ipo siku utapata atakayekupenda na kukuvumilia zinapotokea shida ndogo ndogo kama hizi.pole!
Nilikuwa na girlfriend niliyempenda sana, lakini ikajatokea tukaachana kisa ujumbe mfupi wa kwenye simu yangu. Nimemuomba msamaha miezi miwili sasa lakini hataki kunielewa, na nafsi yangu bado inamhitaji. Nitafanyaje sasa ili turudiane.?
Kakweli nampa pole saana huyu bro, ila itabidi tu anisamehe kwa nitakayomwambia, kwa upande wangu huwa nafarijika sana nikiona au kusikia mwanaume ameachwa au kuumizwa na mpnz wake yani huwa napata kiraha flan hivi, coz hawa wanaume wao huwa hawana huruma kwetu kbs, mtu anajipanga kumchezea au kumchanganya na vimeo vyake vingine makusudi then anatafuta kasababu hakana hata kichwa wala miguu anamtosa na kumwacha na maumivu,kwa kweli kaka jua tu hapo umetoswa cha kufanya cheki line ya pili km inapatikana hamia na songesha maisha,au ukiona vp kuwa tu ya nn kuumizana nafsi kila wakati!
Mapenzi yalikufaga zamaaaan,kijana ucpende xaaana kuwa lover boy,itakucost unachotakiwa uwe play boy iyo itakusaidia.
na hili ndo linafanya mapenzi yenu yasidumu na siku utakapoamua kuwa na mapenzi ya kweli moyo wako utavunjwa vipande vipande mpaka ushangae labda uplay mpaka kifo