CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
dah, kumbe sometime mazoea yana tabu eeh... yan nshachoka kulala na jeans. mnoneke wanajamvi!
Kwa unataka kulala na chupi au bila chupi kabisa?
Unataka ushauri au watoa taarifa??
Asante lakini kwa kutujuza kuwa huwa unalala na jinsi!
...sababu zipi zinazokufanya ulale na jeans!?
...sababu zipi zinazokufanya ulale na jeans!?
...zimenipitia kushoto CG
mh,ntakupm make watoto hawajalala saiv!
...haya ngoja nikudolee macho kipande hiyo
ntatumia tafsida, nyt drec zote zimechanika!
Anaogopa "DUDU"!
hahhahaha hii kali
lakn haiwash!
sio wote wanavuliwa!:disapointed:....sioni tatizo hapo unazuka nazo tu hivyo hivyo....mwambie awe anazivua taratibu kutumia nguvu wakati wa kuzivua haifai