Rabama
Member
- Dec 19, 2019
- 89
- 62
Mie ni mfanyakazi katika Company X Kutokana na kuhamishwa mikoa mbalix2 ki kazi...
Kwa sasa naitaji kusettle Sehemu Moja na familia yangu.
Wakuu naomba ushauri wenu
Kati ya Dar(nina nyumba), Iringa nina kiwanja, Mwanza (nina kiwanja), na Tanga...
Wapi pametulia na kwenye fursa za Biashara?
Asante🙏
Kwa sasa naitaji kusettle Sehemu Moja na familia yangu.
Wakuu naomba ushauri wenu
Kati ya Dar(nina nyumba), Iringa nina kiwanja, Mwanza (nina kiwanja), na Tanga...
Wapi pametulia na kwenye fursa za Biashara?
Asante🙏