Nimechelewa appointment

Mabagala

JF-Expert Member
Nov 27, 2009
1,477
325
Nimechelewa ahadi ya kukutana na shemeji / wifi yenu mtarajiwa kwa dakika 10 tu nimekuta kaondoka na sms zinamiminika nyingi zikimalizia na asante / thanks. nakosa usingizi leo.
 
Nimechelewa ahadi ya kukutana na shemeji / wifi yenu mtarajiwa kwa dakika 10 tu nimekuta kaondoka na sms zinamiminika nyingi zikimalizia na asante / thanks. nakosa usingizi leo.

Pole sana jemba. Always remember that "time is money"!
 
si unajua kibongo bongo dakika kumi mbona ni chache ukizingatia na mafoleni ( sometimes hata kama hamna tunachomekea), kazi nnayo leo
 
si unajua kibongo bongo dakika kumi mbona ni chache ukizingatia na mafoleni ( sometimes hata kama hamna tunachomekea), kazi nnayo leo

Mabagala
With this type of thinking you will always end up where you at now! If keeping time is of essence kwa mwenzio then act accordingly na achana na hizi siasa za kizamani ie. kibongo bongo! Besides what is the point of having an appointment when one never shows up on time???
 
Wifi yetu anajua ku keep time! I believe next time utawahi nusu saa kabla..
 
Huyo wifi wa kichina...
Hajui shida na raha wala kuvumiliana...
Pole komaa tu ila mweleweshe awe muelewa
 
Mr. You are not commited guilty Bro ! The only way to overcome the matter is mediation with her!
Just find a time for reconciliation mr Mabagala, soon as you can , not otherwise.
 
Mabagala
With this type of thinking you will always end up where you at now! If keeping time is of essence kwa mwenzio then act accordingly na achana na hizi siasa za kizamani ie. kibongo bongo! Besides what is the point of having an appointment when one never shows up on time???
Kwakweli nilibanwa na shughuli nyengine mdogo wangu Nemo. Ila dakika kumi tu basi ndo akasirike na kuondoka? Yeye alishaniweka sana kama masaa mawili, kwavile bia zilikuwa zinanikampani basi haikuwa shida, sijataka kumkumbusha, ntakwambia siku nikikutana nae atachelewa tu kama kawaida ya wadada, kakosa uvumilivu wa dakika kumi kweli? ten minutes???
 
Huyo wifi wa kichina...
Hajui shida na raha wala kuvumiliana...
Pole komaa tu ila mweleweshe awe muelewa
Kwa leo hataki kuelewa kabisa, nimejaribu hadi nimechoka sasa, usingizi hauji
 
Wifi yetu anajua ku keep time! I believe next time utawahi nusu saa kabla..
Amyner huwa nawahi masaa mawili kabla yake, ni leo tu nilibanwa si unajua pia ni siku ya kazi leo ( mwenzako yeye si mwajirtiwa)
 
Amyner huwa nawahi masaa mawili kabla yake, ni leo tu nilibanwa si unajua pia ni siku ya kazi leo ( mwenzako yeye si mwajirtiwa)

Sasa kama ni hivyo ulishamzoesha kuwa punctual leo lazima ajiulize maswali..
 
...aisee uyo mzungu...
umesema hujawahi kuchelewa,hii ni mara ya kwanza...
sioni sababu ya kushindwa kukuelewa...tena dk 10?
alikua anayake kichwani...ikalipuliwa na hilo lakuchelewa..
 
pole mwaya. Mchunie mwenyewe atakutafuta.

Hata hivyo badili tabia, dk 10 kwenye kidate huonekana kama masaa 10!
 
Back
Top Bottom