Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,674
Kwa hiyo tangu uanze na hizi fast-track (za wiki 2 mbili) umeshafanikiwa. Ukikutana na mwanaume anayenunua bidhaa bila kutest naye lazima atakuwa na matatizo yake. Ndio baadae mnaanza kutujazia mada za malalamiko hapa,...ooh anamimina tripu moja analala...mara ooh, kumwamsha mpk ukaazime vitu vya siri kwenye video library
Huu ushauri na wadogo zenu/watoto wenu huwa mnawaambia au mko kupotosha wengine tu?? Dah....