wao ni wao
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 1,181
- 2,771
Mjukuu wangu,hongera sana ila mshukuru Mungu umekaribishwa katika ulimwengu wa ajabu mapema
Shule ulipopangiwa ni wewe kujitafuta hasa ili utoboe , hapo Nelkon na akina Roger Muncaster wafanye kuwa ndugu zako wa karibu kwa mchepuo uliokuwepo
Shule ipo mjini kabisa ,wadada hapo hatuwapati kwa kutongoza ila pocket money yako inaweza kukupa ahueni , chunga sana
Ogopa sana kujikuta MUHAS hasa kijichanganya kuliko pitiliza na watoto wa hiko chuo hao walishapita huko ukijiconnect nao utajikuta ni mwanachuo na sio mwanafunzi wa shule ya upili
Kikubwa kasome , library nzuri zote ziko karibu na wewe usiende kusoma magazeti ya udaku ila vitabu vya akina Shayo et al
Mengi utayakuta mjini hasa umalaya na starehe kikubwa najua una shauku ya kufika Dar es salaam
Kikubwa nachokukumbusha ni kupunguza ushamba huko huko mkoani ili ukija mjini usiendeshwe na tamaa ya kutaka kuondoa ushamba
Zaidi karibu mno , ukifika pambana upate kwa kuishi ukikosa karibu PM nitakusaidia
Shule ulipopangiwa ni wewe kujitafuta hasa ili utoboe , hapo Nelkon na akina Roger Muncaster wafanye kuwa ndugu zako wa karibu kwa mchepuo uliokuwepo
Shule ipo mjini kabisa ,wadada hapo hatuwapati kwa kutongoza ila pocket money yako inaweza kukupa ahueni , chunga sana
Ogopa sana kujikuta MUHAS hasa kijichanganya kuliko pitiliza na watoto wa hiko chuo hao walishapita huko ukijiconnect nao utajikuta ni mwanachuo na sio mwanafunzi wa shule ya upili
Kikubwa kasome , library nzuri zote ziko karibu na wewe usiende kusoma magazeti ya udaku ila vitabu vya akina Shayo et al
Mengi utayakuta mjini hasa umalaya na starehe kikubwa najua una shauku ya kufika Dar es salaam
Kikubwa nachokukumbusha ni kupunguza ushamba huko huko mkoani ili ukija mjini usiendeshwe na tamaa ya kutaka kuondoa ushamba
Zaidi karibu mno , ukifika pambana upate kwa kuishi ukikosa karibu PM nitakusaidia