sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,424
- Thread starter
- #21
Hahahahaa hiyo paragraph ya mwisho umeiogopa bure. Hapo ungepata tiba ya kudumu na kamwe usingeweza kujua kusikia huzuni tena maishani mwako. Ila si mbaya tumia malezo ya mwanzo kupata ahueni ya muda mfupi!!!!
Picha kama hizi hapa zinaweza kukusadia kupunguza stress, loh!
Au hii hapa ...
Huzuni isipoondoka, angalia hapa chini ...
Mhhhhh ....
Thanx much am 3/4 healed thanx much,
kweli mi muoga ikijirudia tena will use the last sentence lol