OiAisee...!!
Utaliwa tu...Either mkeo au wewe mwenyewe kiboga siku watakulia timing wakulambe.
cha kushangaza.... Ww mwizi, unaogopaje kuibiwa? kuwa mwanaume bwana ... Oa na wewe uliwe maisha yako yaendelee
Hiyo ishakuwa ni roho tayari! It has to be dealt with spiritually!Wadau,
Mimi ni mwanaume wa miaka 42 sasa. Tatizo langu kubwa kiukweli ni kushindwa kuoa. Kila ninapowaza kuoa naghairi sababu kila nikiwaza nilivyokuwa natembea na wake za watu naona nami itatokea kwangu hivyo hivyo.
Nimetembea sana na wake za watu. Nikikutana nao Facebook, na Instagram. Huwa tunachat baadaye tunakuwa marafiki na kuishia wapenzi.
Ni rahisi sana nadhani wengine wakiniona nilivyo n.k wanavutiwa na kujikuta wanajirahisi tu. Sasa kila ninapokuwa na mwanamke nataka kumuoa nikiwaza kuwa nimetembea na wake za watu zaidi ya 20 kirahisi sana na wengine wanadai walipata mimba kwangu. Nawaza na mke wangu watu watamkamua tu.
Najikuta naghairi na miaka inaenda sana. Nina mtoto mmoja wa nje. Natamani ningekuwa na wife lakini jambo hili huwa linanivunja moyo sana.
Nyie wenzangu mliooa mnaishi vipi na wake zenu hata kama huku nje wanaliwa?
Wadau,
Mimi ni mwanaume wa miaka 42 sasa. Tatizo langu kubwa kiukweli ni kushindwa kuoa. Kila ninapowaza kuoa naghairi sababu kila nikiwaza nilivyokuwa natembea na wake za watu naona nami itatokea kwangu hivyo hivyo.
Nimetembea sana na wake za watu. Nikikutana nao Facebook, na Instagram. Huwa tunachat baadaye tunakuwa marafiki na kuishia wapenzi.
Ni rahisi sana nadhani wengine wakiniona nilivyo n.k wanavutiwa na kujikuta wanajirahisi tu. Sasa kila ninapokuwa na mwanamke nataka kumuoa nikiwaza kuwa nimetembea na wake za watu zaidi ya 20 kirahisi sana na wengine wanadai walipata mimba kwangu. Nawaza na mke wangu watu watamkamua tu.
Najikuta naghairi na miaka inaenda sana. Nina mtoto mmoja wa nje. Natamani ningekuwa na wife lakini jambo hili huwa linanivunja moyo sana.
Nyie wenzangu mliooa mnaishi vipi na wake zenu hata kama huku nje wanaliwa?